Pre GE2025 Siku ya Wanawake Duniani watumishi wasilazimishwe kununua vitenge vyenye picha ya Rais Samia, itakuwa uonevu

Pre GE2025 Siku ya Wanawake Duniani watumishi wasilazimishwe kununua vitenge vyenye picha ya Rais Samia, itakuwa uonevu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Jana kulikuwa na uzinduzi wa vitenge maalum kwa ajili ya siku ya wanawake.

Malalamiko yalijitokeza kuhusu vitenge hivyo kuwa na picha ya Rais ilhali tukio lilikuwa ni la kitaifa na sio la kisiasa.

Tunaomba kama vitenge vina picha ya Mwenyekiti wa CCM, watumishi wa umma wasilazimishwe kununua.

Kuna watu sio CCM na hawakikubali hicho chama, kulazimishwa kununua vitenge vyenye picha ya Mwenyekiti wa CCM ni kuwaonea na kutowatendea haki.

vitenge.png
Soma pia: Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

Kama walikuwa wanataka kuweka picha wangeweka picha ya Maria Nyerere, Bibi Titi au Getrude Mongella. Watu ambao ni politically inactive na hawatokuwa symbol of political division

Gaweni bure hivyo vitenge au msilazimishe watu kununua.

Pia soma:

 
Hawajalazmishuwa, ni mapenzi yao, anapendwa, anaombewa, anahitajika mpaka 2030 na ikifika huo mwaka wengi wanasema wataangalia itavyokuwa waangalie kama wanaweza muongezea 10 mingine.
 
Samia ndio Raisi wa kwanza mwanamke ndie astahili kuwekwa kwenye kitenge kama motivation kwa wanawake kuwa wajiamini kuwa waweza fika juu kuwa hawawezi tu ishia hadhi ndogo walizofikia akina Maria Nyerere ,Bibi titi,au Mongela nk ambao hawakuwahi kufikia level.ya uraisi wa nchi
 
Wakuu,

Jana kulikuwa na uzinduzi wa vitenge maalum kwa ajili ya siku ya wanawake.

Malalamiko yalijitokeza kuhusu vitenge hivyo kuwa na picha ya Rais ilhali tukio lilikuwa ni la kitaifa na sio la kisiasa.

Tunaomba kama vitenge vina picha ya Mwenyekiti wa CCM, watumishi wa umma wasilazimishwe kununua.

Kuna watu sio CCM na hawakikubali hicho chama, kulazimishwa kununua vitenge vyenye picha ya Mwenyekiti wa CCM ni kuwaonea na kutowatendea haki.

View attachment 3224947
Soma pia: Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

Kama walikuwa wanataka kuweka picha wangeweka picha ya Maria Nyerere, Bibi Titi au Getrude Mongella. Watu ambao ni politically inactive na hawatokuwa symbol of political division

Gaweni bure hivyo vitenge au msilazimishe watu kununua.

Uzi tayari
hayo hayakuhusu fanya mambo yako
 
Kampeni za kabla ya uchaguzi
Wakuu,

Jana kulikuwa na uzinduzi wa vitenge maalum kwa ajili ya siku ya wanawake.

Malalamiko yalijitokeza kuhusu vitenge hivyo kuwa na picha ya Rais ilhali tukio lilikuwa ni la kitaifa na sio la kisiasa.

Tunaomba kama vitenge vina picha ya Mwenyekiti wa CCM, watumishi wa umma wasilazimishwe kununua.

Kuna watu sio CCM na hawakikubali hicho chama, kulazimishwa kununua vitenge vyenye picha ya Mwenyekiti wa CCM ni kuwaonea na kutowatendea haki.

View attachment 3224947
Soma pia: Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

Kama walikuwa wanataka kuweka picha wangeweka picha ya Maria Nyerere, Bibi Titi au Getrude Mongella. Watu ambao ni politically inactive na hawatokuwa symbol of political division

Gaweni bure hivyo vitenge au msilazimishe watu kununua.

Uzi tayari
 
Back
Top Bottom