Siku ya wanawake, nawapongeza wanawake wenye makalio

Nje ya Mada

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,399
Reaction score
490
Nimetoka kambini, niko hapa... Ktk siku hii ya wanawake nipo hapa mkasa pub.. Napenda kuwapongeza wanawake wote hasa wale wenye makalio makubwa..

Kama upo karibu, karibia tuburudike kwa kinywaji na tentementeeh

Wadau Wa mpira tukutane CLUB V.I.P
 
Kweli wewe muda wote uko nje ya mada
 
I was joking man. Endelea kula bata!
 
Huyo dada mwenye zigo kuliko wote mwambie anywe anachotaka nakuja kulipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…