Makubwa haya rafiki.makubwa haya!! kila kitu kina siku yake malyumu siku hizi
siku ya wanaume ni lini?
iko kazi.here u come!!!!!!!!! waiweke na yao!!!!!!!!!! kweli mwaka umeanza vibaya wanawake hili wanawake lile duh!!!
fafanua kidogo
wanaume wako aina mbili;siku yao ya kutoa bikira ama wanaotolewa b
ninavyoelewa mwanamke ile siku ya mwanzo anayo-do ndio inasemekana amevunjwa bikira, je na yule mwanaume anaye-do mara ya kwanza inakuwa amefanywaje?