Kuna vitu hatuvipi kipaumbele! Tumebaki kushabikia chura wa snura na ugomvi wa mahusiano binafsi wa kina jideNdugu yangu Mshana. Nimekupata Bwashee. Naiheshimu sana TAALUMA ya Uuguzi (Nesing'). Tuwaheshimu. Wanajitoa kwa kazi yao. Maoni yangu ni kuwa WAAJIRI (Serikali na Binafsi) WAJALI sana maslahi na mazingira ya kazi ya Wanesi.... Naomba Mungu azidi kuwabariki katika siku yao hii. Ninaenzi Mchango wa "Dada" Florence. Kauli yake Do the Patient no harm ingehamia kwingine kama: Bungeni, Shuleni/vyuoni, Barabarani (Matrafiki), Mahakamani (Pilatoz na Mawakili), kwenye ardhi, kilimo, mifugo, Tume ya Uchaguzi (Zanzibar na Tanzania), Makanisani, misikitini....na kwingineko.. Dunia ingekuwa ya NEEMA!
Nahavache Mshana...
tunaendeshwa sana na hisia kuliko uhalisia, ukiuliza ishu za akina lugumi zimeishaje hata hatujui, sisi ndo wabongo hakuna wengine kama sisi, ukitaka umbebe mwenzako muwe pamoja ktk mambo ya msingi atakuona unaringa, bora ukomae tu mwenyewe na familia yako..Kuna vitu hatuvipi kipaumbele! Tumebaki kushabikia chura wa snura na ugomvi wa mahusiano binafsi wa kina jide
Tatizo tunapenda vitu vya msisimko saana... Yaani vitu vinavyo trend mitandaoni havina mashiko kabisaaatunaendeshwa sana na hisia kuliko uhalisia, ukiuliza ishu za akina lugumi zimeishaje hata hatujui, sisi ndo wabongo hakuna wengine kama sisi, ukitaka umbebe mwenzako muwe pamoja ktk mambo ya msingi atakuona unaringa, bora ukomae tu mwenyewe na familia yako..
KUJITAMBUA ni ugonjwa mmoja hatari saana...wenyewe haungalii status wala nn.Mbaya zaidi hii hali imewakumba mpaka viongoziii