Kumiliki kitu Kama nyumba, gari,baiskeli, pikipiki sio kitu Cha mchezo,
Tuambie siku yako ya Kwanza kumiliki .......... ulikuwa na mzuka gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah... yaani nawaza sijui itakuwaje siku hiyo [emoji2960]Kumiliki kitu Kama nyumba, gari,baiskeli, pikipiki sio kitu Cha mchezo,
Tuambie siku yako ya Kwanza kumiliki .......... ulikuwa na mzuka gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ya kwanza kumiliki Silaha yenu kwa muda tu nilijiona kama ni Rambo. Nikawa tayari kuwatafuta wa Vietnam
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeweza kunichekesha sana mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajihisi kama ukitembea hukanyagi chini.Watu waliojenga bwana,utakuta kila ukipiga naye story mbili tatu utasikia anakuuliza,vipi umeshajenga nyumba.Kile ni kiwewe tu utakuta nyumba yenyewe moja,sasa na yule mwenye nyumba 10 naye aseme nini...
Baiskeli, "AVON" Ilikuwa ndio usafiri wangu wakwendea kibaruani, kwa
bahati mbaya ndani ya mwezi 1 ikaibiwa, sikulia ila machozi yalinitoka.
Kumiliki kitu Kama nyumba, gari,baiskeli, pikipiki sio kitu Cha mchezo,
Tuambie siku yako ya Kwanza kumiliki .......... ulikuwa na mzuka gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Da[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna jamaa yangu kaajiriwa kufunga mabomba ya kumwagilia miwa kwenye kiwanda cha Kilombero Sugar Company.Sasa huyu jamaa baada ya kupata kamshahara chake akanunua kiTV cha inchi 10 cha chogo na kideki cha singsung.
Aisee ni mwendo wa rege tu utadhan tupo Jamaica.
Yaani kukaa sebuleni kwake ishu kila mara anaigusa deki akiona imekuwa ya moto anasema jamani tv ipumzike.Kisha anachukua deki na kiTV chake anarudisha kwenye box huyooo anaenda kuiweka chumbani kwake ikipoa tu anairudisha sebuleni.
Ulipolipia kodi kwako hukufurahi?Nasubiri kuelezea furaha yangu siku nikinunua gari au kujenga hata 2rooms[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
nyumba yangu huko mkoani, siku ilivokamilika na kuweka vitu vyangu, nlishinda uchi na binti mmoja hvi.. yaan sebuleni nkitoka hpo chumban jikon(hakukua na kitu l) yaan raha sana. saiv nimepanga hpa mjini japo napamiss sana kwangu.