Simba ndio timu iliyo iuzia Yanga mechi nyingi zaidi kuliko timu yoyote Tanzania.Wahenga walisema. Hii namba huwezi kuivuka ukiwa na makando kando.
Ni jambo la kusikitisha kwa ligi iliyopata wadhamini wa uhakika na kuingiza pesa nyingi, kisha timu inaweka bajeti ya zaidi ya 300M kwa ajili ya kununua ushindi kupitia kwa waamuzi na baadhi ya wachezaji na wakati mwingine viongozi wa timu pinzani.
Tafuteni stori nyngine
Confidence ya kucheka unaipatia wapi?Simba ndio timu iliyo iuzia Yanga mechi nyingi zaidi kuliko timu yoyote Tanzania.
Kwa ujumla Simba ndio duka la kudumu la Yanga[emoji3][emoji3]