Siku zilee....

Ha ha ha ha! umenickeckesha sana jinsi ulivyoilink hiyo picha na scandal ya ngono inayokabili Yusuph Makamba!
 
na alivyokuwa anasikiliza kwa makini... ni kama anasema... "wacha weeee unasema kweli?... sasa huyu mzee anataka kutuu kwa presha... cjui tutangaze sio raia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…