eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
karne ya 20 inakumbukwa hasa kwa dhuluma za kidini zisizowahi kutokea: hasa Ukomunisti, ulioteka Urusi ukaenea polepole hadi kutawala theluthi moja ya binadamu wote, ulipiga vita dini kwa namna zote na kuua mamilioni ya waamini, hasa Waorthodoksi.
Hatimaye, chini ya Papa Yohane Paulo II, wa kwanza kutoka mataifa ya Kislavi, Wapolandi walifaulu kuangusha serikali ya Kikomunisti, wakifuata na wenzao wa nchi zote za Ulaya Mashariki.
Baada ya hapo, Ukristo uliamka upya katika nchi hizo.
Hatimaye, chini ya Papa Yohane Paulo II, wa kwanza kutoka mataifa ya Kislavi, Wapolandi walifaulu kuangusha serikali ya Kikomunisti, wakifuata na wenzao wa nchi zote za Ulaya Mashariki.
Baada ya hapo, Ukristo uliamka upya katika nchi hizo.