Sikuamini jamani!!

hiyo A***UM HOTEL naamini kabsaa ni ATRIUM HOTEL MITAA YA SINZA KONA BAR....HIVI KUSHIKWA KIUNO NA KUINGIA HOTEL NA MWANAUME MWENZIO NI KOSA?...MIE NADHANI UNGEKUWA UMEMWONA KAINAMISHWA ANAELEKEZWA KIBLA NA DUME LENZIE HAPO UNGEKUWA NA HOJA YA MSINGI KABSAAA...IN PRINCIPLE FUMANIZI NI PALE UNAPOKUTA AU KUONA MTU KAINGIZA DHA@#KARI NDANI YA TUNDU LA MWENZIE...NOTHING MORE
 
hiyo sasa ni kuingilia uhuru wa mtu binafsi, coz kile kitundu anakitumia peke yake (not a family property); ingekuwa mikono, mdomo, au hata rungu la mama hapo sawa. Hicho kitolea kinyesi ni cha kwake peke yake! Lol
uhuru gani? Wa hivo bhanaa loh. Kweli nimeamini duniani kuna wazazi na wazazi
 

Toa local zako hapa,upumbavu unaujua wewe au unapiga misele ndani ya pipa la gongo?
Kama huna jipya,
Tuma salamu Kwenu Sitimbi,wambie unauza sura jijini.
 
niende wapi,nipo hapa uliponiacha,au ushakula kona maana nyie cku hzi hamuagi, au umeenda kununua v**gra?
khaaa kumbe upo kwenye shughuli maalumu shostisho?
 
Umwambie mwanae il amsaidie baba ake kutoa tundu?
 
We kaa kimya, acha familia yao wagundue wenyewe suala hilo
 
Sidhani kama kuna haja ya kumwambia maana baba yake ni mtu mzima na anajua anachokifanya. Kila mtu na maisha yake. baba ana maisha yake na mtoto naye ana maisha yake na kila mtu atakufa na kujibu kivyake mbele za Mungu. Huyo shosti wako hatokufa na baba yake wala baba hatokufa na mwanae. Ni bora ukae kimya kuliko kumpa stress zisizokuwa na msingi na kumwaribia maisha mtoto wa watu maana watu wengine mioyo yao ni midogo kama gololi, wakipata katatizo kidogo tu presha juu.
 
I've read this post and looking through trying to read the mind ya mtoa mada and style yake ya kujibu hoja especially hoja pinzani. Trust me, trust my instincts 'madame b' ni kwamba wewe ni 'me' na wala siyo 'ke' na hapa hii stori ni ya kutunga na hamna ukweli wowote

Probably pia unaweza ukawa una elements za ushoga, may be am not sure. And I really don't care if you are gay or not......

Samahani kwa kuwa nje ya mada na mods msiwe wakali. Ruhusa kuandika 'chochote' ujisikiacho against this post but I won't reply back
 

Okay,Lasikoki.
Me ni KE' mtupu,tangu Utosi tu Unyayo,labda una shida zako za ki-fikra.
Kwani Gay na Lesbo hawana haki? Changia mada,kama huna fungua za mods wengne.
Kuhusu kwamba stori nimeitunga,yawezekama wewe aidha,hujawahi kwenda HOTEL au GESTI.

CONCLD: Niachie cont zako ili nikipata jambo nikutaarifu uje ili uamini kama matukio haya yapo.


UNA LA NYONGEZA?
 
tabia mbovu inatakiwa ikomeshwe kama mm ni ww nina mtuma mtu anayemzidi umri ambaye hamjui akamshauri aache
 
wanaingia getini au chumbani, kushikwa kiuno haina nguvu sana kwenye hoja yako, eleza vizuri
 
Duh kweli hizi siku za mwisho.Ngoja niendelee kutubu dhambi zangu maana saa zile bwana harusi kuhudhulia karamu zinakaribia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…