demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kwa kauli yangu na akili yangu ilivyo na usawia wake sikupendezwa kabisa na kauli za kisiasa za Mo kwenye Tamasha letu la Simba Day. Kauli ambazo hazikubaliki michezoni na zinalenga kutugawa wanasimba na zaidi kabisa kutuaminisha kuwa klabu yetu inatumika zaidi kwa manufaa ya kisiasa kuliko kutumia kwa lengo la kuburudisha wana simba kwa ujumla wake.
Kauli kama zile zinaenenda kinyume kabisa na sheria na kanuni za FIFA & IFAB kwa ujumla. Ipo sababu ya kumdhibiti mtu huyu ama ikiwezekana awekewe watu wa mpira karibu yake ili waweze kumpa soma limpasalo kuhusu soka. Sitaki aje kutuharibia hapo baadaye.
"Huyu Mtu Jamani Adhibitiwe"
Kauli kama zile zinaenenda kinyume kabisa na sheria na kanuni za FIFA & IFAB kwa ujumla. Ipo sababu ya kumdhibiti mtu huyu ama ikiwezekana awekewe watu wa mpira karibu yake ili waweze kumpa soma limpasalo kuhusu soka. Sitaki aje kutuharibia hapo baadaye.
"Huyu Mtu Jamani Adhibitiwe"