sikujua kama kuku wa kienyeji anaweza kutamia mara 7 kwa mwaka

sikujua kama kuku wa kienyeji anaweza kutamia mara 7 kwa mwaka

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,292
Heshima kwenu.
natumia simu hivyo nitaandika kifupi.
_kumbe kuku wa kienyeji anaweza kutamia mara saba kwa mbinu ya akishatotolesha unamyanganya vifaranga na unavitunza kama wale wa broila then kuku atapumzika siku 14 na ataanza kutaga tena kwa siku 15 then anaanza kutamia tena.
_kwa hivyo ukiwatamia kuku kumi kwa mara moja mayai 10 kila mmoja ina maana utakuwa na vifaranga 100 ndani ya siku 21 na hao mia wakikaa miezi sita wataanza kutaga.
_kuna utajiri wa kutisha kwenye kuku wa kienyeji endapo utafuata miongozo ya wataalam na dawa kwa ufasaha.

haya mafunzo nimeyapata kwa masaada wa mkuu. [MENTION=111377]Traitor B niliyeelekezwa kwake na. Mama Joe
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kuna ule uzi...ukitaka kuwa tajiri....umeelezea mbinu hizo kisha Kubota alijaribu na kuleta uzi.....zijue mbinu zangu....tunasubiri feedback yako hapa. Wengine tunawaacha wanaatamia mmoja au kundi na kuacha walee hadi waanze tena kutaga.
 
Kila mara huwa napitia hizi nyuzi kuhusu ufugaji wa kuku tena zenye elimu pana yakutosha kunifanya niwe tajiri mkubwa!! Lakini nashangaa kuna pepo huwa ananipitia na kunisahaurisha how to utilize this useful and wonderful tactics!!?

Asanteni sana wadau kwa kuendelea kunikumbusha na kunifumbua macho ktk kuikamata hii fursa!
Barikiwa sana sana!
 
Pia wakitotoa kumi unaweza kuteuwa mmoja ama wawili watunze vifaranga,ila hii inategemeana na aina ya kuku..kuna kuku hawatunzi vifaranga wa kuku mwingine
 
no poverty in my house....😀😀😀:beer::beer::beer::beer:
 
nami ndo naanza nadhani hata mimi nitafuata njia yako
 
Back
Top Bottom