Hello wakuu Kuna Uzi niliandika hapa JINSI YA KUMUACHA MWANAMKE ALIYEKUGANDA.
Sasa kumbe huyu manzi muongo age ishamtupa mkono aliniambia ana miaka 28 wakati mm nina 24 nikaona isiwe kesi amenizid kidogo tu life acha lisonge.
Mmh Jana katika pitapita Facebook nikaona profile yake ya kitambo kuingia kuchunguza alooh kumbe single maza aliniambia Hana mtoto kuchunguza zaidi kumbe kazaliwa 1992 yaan ana miaka 32 sawa na dada yangu wa kwanza nikachoka kumbe nilikuwa nachachua Kwa kibibi kimenizidi miaka 8 ndo maana kaliniganda.
Bora nitemane naye japo ni mrembo angekuwa na Hela ningeendelea kupeleka moto.
Afya tulipima yupo fresh na mm fresh ila kuanzia saivi na mishangazi ambayo Haina Hela hapana aisee acha nifocus na harakat zangu tu.
Sasa kumbe huyu manzi muongo age ishamtupa mkono aliniambia ana miaka 28 wakati mm nina 24 nikaona isiwe kesi amenizid kidogo tu life acha lisonge.
Mmh Jana katika pitapita Facebook nikaona profile yake ya kitambo kuingia kuchunguza alooh kumbe single maza aliniambia Hana mtoto kuchunguza zaidi kumbe kazaliwa 1992 yaan ana miaka 32 sawa na dada yangu wa kwanza nikachoka kumbe nilikuwa nachachua Kwa kibibi kimenizidi miaka 8 ndo maana kaliniganda.
Bora nitemane naye japo ni mrembo angekuwa na Hela ningeendelea kupeleka moto.
Afya tulipima yupo fresh na mm fresh ila kuanzia saivi na mishangazi ambayo Haina Hela hapana aisee acha nifocus na harakat zangu tu.