sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,001
Heri ya jumapili kwenu...
Juzi kati nimebahatika kutunukiwa tunda na binti mmoja mwenyeji wa huko pembezoni mwa ziwa Victoria,japo aliniweka wazi kuwa asili yawazazi wake wote ni wanyarwanda.
Katika mazungumzo yetu kabla hatujaingia kwenye mchezo akagusia kipengele Cha wao(wanawake wakanda hiyo)kufika kileleni.Alinambia wao wakifika kileleni humwaga maji mengi Sana ambayo huashiria kuridhika na mchezo.
Aidha,alienda mbali zaidi kwa kunieleza kuwa wakati mwingine yeye binafsi hufika kileleni kwa kutoa mapovu mengi sehemu zake zasiri.So akanambia endapo nitakutana namoja Kati ya vitu hivyo viwili nisistuke kwani ndivyo walivyo.
Basi tukaanza mchezo kwa kufuata sheria nakanuni zote muhimu.Baada ya muda kweli mdada alimwaga maji mengi ambayo yalinirukia sehem zote za mwili isipokuwa mgongoni.
Daaaaaah, awali nilitaka kutoka Kweny mchezo Ila badae nikakumbuka kuwa dada wawatu ashanambia anavyomalizaga.
Wakuu,maji Yale yalinitesa usiku kucha kwani yalilowanisha sehemu kubwa ya godoro. Sasa nimeamka asubuhi nashangaa Yale maji Yana harufu yamkojo... ndio,huu huu mkojo tunaokojoa.
Hapa nasubir jua lichomoze nikaanike godoro langu nje. Sasa kwa wale wenye uelewa nawadada wa namna hii mna maoni gani.Yale nimaji yakufika kileleni yenye harufu ya mkojo au ni mkojo wenyewe?
Haya kuna hili swala tena lakutoa povu(japo hakutoa),nalo limekaaje kwenye kufika kileleni?
Wasalaam!
Juzi kati nimebahatika kutunukiwa tunda na binti mmoja mwenyeji wa huko pembezoni mwa ziwa Victoria,japo aliniweka wazi kuwa asili yawazazi wake wote ni wanyarwanda.
Katika mazungumzo yetu kabla hatujaingia kwenye mchezo akagusia kipengele Cha wao(wanawake wakanda hiyo)kufika kileleni.Alinambia wao wakifika kileleni humwaga maji mengi Sana ambayo huashiria kuridhika na mchezo.
Aidha,alienda mbali zaidi kwa kunieleza kuwa wakati mwingine yeye binafsi hufika kileleni kwa kutoa mapovu mengi sehemu zake zasiri.So akanambia endapo nitakutana namoja Kati ya vitu hivyo viwili nisistuke kwani ndivyo walivyo.
Basi tukaanza mchezo kwa kufuata sheria nakanuni zote muhimu.Baada ya muda kweli mdada alimwaga maji mengi ambayo yalinirukia sehem zote za mwili isipokuwa mgongoni.
Daaaaaah, awali nilitaka kutoka Kweny mchezo Ila badae nikakumbuka kuwa dada wawatu ashanambia anavyomalizaga.
Wakuu,maji Yale yalinitesa usiku kucha kwani yalilowanisha sehemu kubwa ya godoro. Sasa nimeamka asubuhi nashangaa Yale maji Yana harufu yamkojo... ndio,huu huu mkojo tunaokojoa.
Hapa nasubir jua lichomoze nikaanike godoro langu nje. Sasa kwa wale wenye uelewa nawadada wa namna hii mna maoni gani.Yale nimaji yakufika kileleni yenye harufu ya mkojo au ni mkojo wenyewe?
Haya kuna hili swala tena lakutoa povu(japo hakutoa),nalo limekaaje kwenye kufika kileleni?
Wasalaam!