Sikujua kuwa style yake yakufika kileleni ni kulowanisha godoro

Sikujua kuwa style yake yakufika kileleni ni kulowanisha godoro

sepema

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2019
Posts
591
Reaction score
1,001
Heri ya jumapili kwenu...

Juzi kati nimebahatika kutunukiwa tunda na binti mmoja mwenyeji wa huko pembezoni mwa ziwa Victoria,japo aliniweka wazi kuwa asili yawazazi wake wote ni wanyarwanda.

Katika mazungumzo yetu kabla hatujaingia kwenye mchezo akagusia kipengele Cha wao(wanawake wakanda hiyo)kufika kileleni.Alinambia wao wakifika kileleni humwaga maji mengi Sana ambayo huashiria kuridhika na mchezo.

Aidha,alienda mbali zaidi kwa kunieleza kuwa wakati mwingine yeye binafsi hufika kileleni kwa kutoa mapovu mengi sehemu zake zasiri.So akanambia endapo nitakutana namoja Kati ya vitu hivyo viwili nisistuke kwani ndivyo walivyo.

Basi tukaanza mchezo kwa kufuata sheria nakanuni zote muhimu.Baada ya muda kweli mdada alimwaga maji mengi ambayo yalinirukia sehem zote za mwili isipokuwa mgongoni.

Daaaaaah, awali nilitaka kutoka Kweny mchezo Ila badae nikakumbuka kuwa dada wawatu ashanambia anavyomalizaga.

Wakuu,maji Yale yalinitesa usiku kucha kwani yalilowanisha sehemu kubwa ya godoro. Sasa nimeamka asubuhi nashangaa Yale maji Yana harufu yamkojo... ndio,huu huu mkojo tunaokojoa.

Hapa nasubir jua lichomoze nikaanike godoro langu nje. Sasa kwa wale wenye uelewa nawadada wa namna hii mna maoni gani.Yale nimaji yakufika kileleni yenye harufu ya mkojo au ni mkojo wenyewe?

Haya kuna hili swala tena lakutoa povu(japo hakutoa),nalo limekaaje kwenye kufika kileleni?
Wasalaam!
 
Mbona kama hauko sawa? Umeandika kwamba alushakyrahadharisha kuhusu suala la kutoa maji na akaenda mbali inaweza ikatoka povu kabisa achilia mbali maji, kwanini unaandika haukujua? Ulitaka afanyaje ili ujue?
Mkuu nilijua ni majimaji Kama za wanawake wengine nilowazoea.Ambacho nilitegemea kiwe tofauti ni wingi tu.Ila kilichonishangaza ni Yale maji yenye wingi naharufu yamkojo
 
Heri ya jumapili kwenu...
Juzi kati nimebahatika kutunukiwa tunda na binti mmoja mwenyeji wa huko pembezoni mwa ziwa Victoria,japo aliniweka wazi kuwa asili yawazazi wake wote ni wanyarwanda.

Mzee usishangae. Hiyo inaitwa squatting kama sijakosea. Ni turufu kubwa sana ukipewa hiyo ujuwe mwanamke umemkaba vilivyo hisia zake na amejiachia.

Wanawake wamezoea kukaza misuli unapowameng’enya jambo linalochelewesha wao kufika kileleni na kutokutoa hiyo turufu maana lazima auachie mwili hasa.

Nilijihisi unyonge pia mimi nilipokutana na hii hali kwa mara ya kwanza na kweli sikurudia round ya pili. Mchezo uliishia pale. Baadae nilipoingia chimbo kufanya utafiti ndo nikaja kutambua kuwa yule mzungu alinipa turufu kumbe.

Ilikuja kunitokea tena na mchepuko wangu mwingine pia. Maji kama yote. Ila hiyo povu la huyo bibie ichunguze isije ikawa ana ugonjwa unaitwa chlamydia.
 
Hilo godoro sijui utalibeba begani, utaliburuza hadi nje au vipi?Kazi kubwa sana kama unaanika udaga.Hata hivyo,pole kwa dhahma iliyojitokeza.😂😂😂😂
 
Hilo godoro sijui utalibeba begani,utaliburuza hadi nje au vipi?Kazi kubwa sana kama unaanika udaga.Hata hivyo,pole kwa dhahma iliyojitokeza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Changamoto yakutoa hili godoro nje nikwamba huyu dada hakai mbali nakwangu.Nafikir anaweza kujihisi vibaya akiona nimeanika godoro.
 
Changamoto yakutoa hili godoro nje nikwamba huyu dada hakai mbali nakwangu.Nafikir anaweza kujihisi vibaya akiona nimeanika godoro.
Afadhali ya huyo dada."Sisi majirani" tutaweka hitimisho kwamba ukikojozi haujauanza hivi karibuni.Utakuwa umetoka nao kwenu na kindumbwendumbwe umekimbizwa sana!😂😂😂😂
 
Fungua biashara ya udobi...

Hadi hapo tayari una kiwanda cha sabuni na idara ya maji, imebaki kuwa na mashine tu...
Mkuu, japo alinitajia hizo Hali mbili yan kukojoa maji mengi na povu...Ila kusema kweli povu halikutoka.Kumbuka hata yey alinambia hizo hali hazitokei zote kw pamoja.
 
Alinambia wao wakifika kileleni humwaga maji mengi Sana ambayo huashiria kuridhika na mchezo.
Mzee baba kama vipi nipasie namba yake hii pisi..

Kwa miaka yangu hii 32 nilishakutana na pisi mbili za hii staili.

Aisee Wana utamu wao SPECIAL.

Moja ilikuwa ya kinyakyusa (nilikutana nae kwenye mihangaiko Tunduma).
Aisee japo ilikuaga game ya siku moja tu ila nili enjoy sanaa yale maji, mtoto ana bombaa yulee.

Wa pili alikuwa mmasai ila alikulia mjini.
Aisee yule mtoto, tulidumu miaka miwili ya mahaba ila ilikua kila tukikutana lazima RUWASA wahusike..!!

Pisi zenye RUWASA aisee zina utamu wao aisee ...!!!!

#YNWA
 
Back
Top Bottom