Sikujua kuwa style yake yakufika kileleni ni kulowanisha godoro

Povu hutoka pia.

Nilishakutana na mdada yeye kufika kileleni kutoa povu.

Tulidumu miaka 3 ila Sasa imebaki story..!!!

#YNWA
 
Sharti lake anataka mfunge na ndoa kabisa.Hapo vipi?
 
Sharti lake anataka mfunge na ndoa kabisa.Hapo vipi?
Huyo niliyedumu nae miaka 3 nilikuja kugundua ni mke wa mtu..!!
Siku niliyogundua ndio akaniambia "Kachepuka na Mimi kwasababu mumewe huwa hamtoi hayo maji na yeye furaha yake ni kumwaga maji"" ""alinificha kuwa ni mke wa mtu kwasababu alijua nikijua nitamwacha""

Ila mkiwa kwenye ndoa...
Nunua dogoro lenye cover la leather...!!

Haya maji yana utamu wake..

#YNWA.
 
Shemela Evelyn Salt njoo utoe ufafanuzi hukuu..!!!
 
Miaka mitatu ukawa haujui kama ni "muke ya mutu"?Hiyo ilikuwa zaidi ya hatari!
 
Ameizi... Da!!!!! Haya mambo ya pande za kayanga, omurushaka, rwambaizi, igurwa, mabira, katembe, rwamishemi, katoma,
 
Miaka mitatu ukawa haujui kama ni "muke ya mutu"?Hiyo ilikuwa zaidi ya hatari!
Mimi bana huwa sifatilii mwanamke.
Yupo wapi?
Anafanya nini?
Yupo na nani?
Mbona simu yake inaita sanaa?

Yaani Mimi nipewe mbunye basi.

Hayo mengine watauliza wanaotaka kuoa.

After all alikuwa mbali na ndoa yake (alikuwa chuoni) hivyo pale chuoni alikuwa akiishi off-campus mwenyewe.
Mumewe alikua Mkoa wa mbali hukoo.

#YNWA
 
Dah!Badili mtazamo aisee!Utakuja kupata dhahma kwa kutokuwa muangalifu.Yakupasa hata unapotembea barabarani uwe makini usikanyage kokoto utateguka "enka"!
 
Changamoto yakutoa hili godoro nje nikwamba huyu dada hakai mbali nakwangu.Nafikir anaweza kujihisi vibaya akiona nimeanika godoro.
kizungu inaitwa Squirting hiyo mzee pitia hata YouTube utaiona achana na washamba wasio jua mambo ,eti kikojozi hahahaaa vijana wa sikuhizi bwana mambo hamyajui mkae kimya.

Huyo sio kikojozi kama hao wasio jua wanavyo sema , hiyo huwa inatokea ingawa si kwa wanawake wengi wapo wachache kiasi na wengi wapo ukanda wa kagera na baadhi wapo mbeya na ninafikiri ni kutokana na uwepo wanaina fulan ya vyakula ambayo huzalisha hormones hizo ingawa wengine husema ni ulaji wa ndizi kutokana na maeneo hayo kuwa na zao hilo kwa wingi

na anaweza kumwaga kojo hata mara tano hadi unajiuliza hilo kojo linatoka wapi jingi hivyo na huwa ni kojo kabisa nisha kutana na mabint wa aina hiyo mara tatu mwanz na mbeya

Lakini hiyo ni namna ya kuufikia mahindo kwa baadhi ya wanawake na niishara kwamba ulimtia na akaridhika bila unafiki yaan ali enjoy .
 
Wewe babumbuka kweli....kashakupa warning Kwa nini ukuweka mpira WA kuzuia hayo mafuriko ya mkojo?? Haya jikatae
 
Umepigwa mzee huyo kajikojolea, yale maji sio mkojo
 
Mkuu nilijua ni majimaji Kama zawanawake wengine nilowazoea.Ambacho nilitegemea kiwe tofauti ni wingi tu.Ila kilichonishangaza ni Yale maji yenye wingi naharufu yamkojo
Aligundua hujui mamboz ndo maana akaamua kukomoa
 
Midude ya hivi unatakiwa ukailie guest ya mbali ili wasikupate baada ya kuharibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…