Sikujua,tulidiscuss na bint usiku wakati wa mitihani kumbe alikuwa half-nacked

Sikujua,tulidiscuss na bint usiku wakati wa mitihani kumbe alikuwa half-nacked

Hussein J Mahenga

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2012
Posts
750
Reaction score
656
Nakumbuka ilikuwa cku ya j4 ucku wa kuamkia j5 tulipokuwa tunajiandaa na mtihani wa jiografia,ndipo nlipopigiwa cmu n binti akiniomba aje tudiscuss naye akidai kuwa hlo somo lilikuwa gumu kwke!
Tulikuwa wawil,mm na rfk yng ambaye aghalabu tulikuwa tukisoma naye! Ilikuwa kama ni utani kwn ckuwah kusoma n waschana ucku,alkuja akiwa na rfk yke n tulisoma nao hadi saa saba za ucku! Mm nlichoka kusoma hvyo nlipanda kitandani kulala!
Ckuamin nlpoamka saa kumi za ucku nlipomuona akiwa amelala pembeni yangu kanga ikiwa imetoka na kubaki n skin tight tu tena nyeupe pe! Kiukwl nlidata na uamuzi nliouchukua n sir yng mm n jamaa tuliokuwa nao! Hebu niambie,ungemfanyeje?
NB;tulikuwa gheto mbal kidogo n homestead ninapoishi!
 
401207_10150636362741115_719381114_10931552_142303859_n.jpg
 
Inategemea huo mtihani wa kesho yake ulikuwa na umuhimu mkubwa kiasi gani, kama mfano ni mtihani wa Taifa, nisingefanya chochote cha kunipotezea attention ya pepa. Kama ni katest tu ka class au sijui mid-term, aaaagh ngejaribu bahat yangu, test kitu gani
 
Inaonekana ulijipiga .................. vya kutosha na hukumfanya lolote
 
hahahahahhha smile na MTM mmenichekesha sana.....hasa smile.....
 
Back
Top Bottom