Sikukuu hizi mbili zimenifanya nithibitishe rasmi kuwa kumbe hata hapa JamiiForums ' Members ' nao Vyuma Vimewakazia vile vile!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sijui ni kwanini tokea mwaka 2016 hadi 2018 nimepata taabu sana kupata / kupokea ' Mialiko ' ya Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya kama miaka ya huko nyuma. Na bahati nzuri ' Mialiko ' mingi nilikuwa naipata hapa hapa Jamvini kwa ' Members ' na naenda Makwao ambako nakula hadi nakunywa ila kwa sasa ni kama vile ' Wamenichunia ' Rafiki yao.

Hata hivyo siwezi Kuwalaumu kwani yawezekana kabisa kwamba kumbe hali ngumu ya Kimaisha siyo tu kwa Watu wengine kumbe hata hapa napo hali ni mbaya.

Nawasilisha.
 
Kagame hajakualika?

Mwaka huu wa 2019 nimeazimia nisiwe na Majibu yangu ya Kunya / Shombo ila naona kama vile kwa hiki ulichokiandika hapa ni kama vile unanilazimisha hiyo nia yangu niachane nayo na niendelee kutoa ' Dozi ' zile zile kwa ' Mapopoma ' wachache kama Wewe hapa Jamvini / Jukwaani.
 
Kesi nyingine?
 
Ila mkuu GENTAMYCINE huwa unanichekesha Sana na majibu yako yani unawapa makavu live mapopoma waliotukuka hapa jukwaani[emoji28][emoji28]
 
Wank wa kagame

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale maeneo maaeufu sana kwa watu wenye ukwasi yalishamiri tafrija na shamrashamra za siku kuu zote ile ya Noeli na mwaka mpya kama kawaida ila kimya kimya.

Yaani maeneo ya ufukweni hadi huko Kunduchi.

Maeneo yale, mbuzi walikuwa wanaonekana wakipitishwa tu nyuma ya magari ya pick-ups.

Ila watu wengi ninaowafahamu safari hii simu zao zilikuwa zimezimwa na hakukuwa na salamuza picha za WhatsApp wala ujumbe tu wa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…