Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ndiyo,unazinije siku ya kuzaliwa bwana Yesu ambae baadhi ya wakristo humuita kuwa ni Mungu?πππHahaha, hata na mke wangu mkuu?
[emoji23][emoji23]Jinsi gani ngamia ni ngumu kupenya kwenye tundu la sindano...
Ahahaha kula mwenyewe n uchoyo huo,,,,,,,,,,mualiko ulikuepo sema t umeniwahi.Utakula mwenyewe!! tupe mualiko tuje kusherehekea pamoja
wakati wangeweza kusema hata m'mbu tu,walienda mbali sana as if kuna mnyama wakupenya kwenye hilo tundu la sindano.hawa wahenga nao wazinguaji tu hvi kwann walifananisha sindano ile ndogo na Mnyama mkubwa kias kile.?
Tatizo unapika nini....manake siku hizi hata pilau zote fakeMungu mwema kwa kweli kwangu itakua nzr pia kwan nitaenda church nikirudi ni kupika na kula.
Ha ha ha shukrani sana, tupe na location ya eneo ili tuanze kuandaa ndizi na pilipili za mwendokasiAhahaha kula mwenyewe n uchoyo huo,,,,,,,,,,mualiko ulikuepo sema t umeniwahi.
Karibuni wanna JF wote tusherehekee pamoja.
We unataka kula nn?Tatizo unapika nini....manake siku hizi hata pilau zote fake
Makao makuu ya nchi hapa,,,,kwa maelezo Zaid njoo PM tujenge Mambo mazuri.Ha ha ha shukrani sana, tupe na location ya eneo ili tuanze kuandaa ndizi na pilipili za mwendokasi
Na mimi jamani nijumuike kufinya hilo pilau..tusitengane jaman..Dodoma si hapo tu?Makao makuu ya nchi hapa,,,,kwa maelezo Zaid njoo PM tujenge Mambo mazuri.
[emoji4][emoji4]hapana ni kuleNa mimi jamani nijumuike kufinya hilo pilau..tusitengane jaman..Dodoma si hapo tu?
[emoji3][emoji3]Nimehesabiwa toka jana jioni..[emoji4][emoji4]hapana ni kule
Umeshahesabiwa Kwanza [emoji848]
Anyway u a most welcome.
1 Love [emoji16][emoji847][emoji3][emoji3]Nimehesabiwa toka jana jioni..
Asante kwa mwaliko
Ngamia sio huyo mnyama aliyemaanishwa Ila Ni ile nanga ya kutupa majiniwakati wangeweza kusema hata m'mbu tu,walienda mbali sana as if kuna mnyama wakupenya kwenye hilo tundu la sindano.
Kumbe tuko wote mkuu, hii inasomeka chamwinoMakao makuu ya nchi hapa,,,,kwa maelezo Zaid njoo PM tujenge Mambo mazuri.
Kumbe tupo wote jijini, hebu njoo pm tuyajenge hahahaMakao makuu ya nchi hapa,,,,kwa maelezo Zaid njoo PM tujenge Mambo mazuri.
Sawa njooKumbe tupo wote jijini, hebu njoo pm tuyajenge hahaha
Ohooo ok Poapoa mkuuKumbe tuko wote mkuu, hii inasomeka chamwino
Oh, nadhani hawakumaanisha Ngamia mnyama (camel) mkuu.hawa wahenga nao wazinguaji tu hvi kwann walifananisha sindano ile ndogo na Mnyama mkubwa kias kile.?
Ni kweli alizaliwa 25/12/ au ni fix?
hawa wahenga nao wazinguaji tu hvi kwann walifananisha sindano ile ndogo na Mnyama mkubwa kias kile.?