Sasa mbona kwenye matangazo na biashara? Muite mod aliye zamu apeleke Uzi chit chat.
Haha... Mautopolo hapo umewajumuisha mashabiki wa yanga wote "Utopolo FC.
Back in day's wakati nipo chuo niliitumie hii siku kudanganya home....miamala ikasoma ila baadaye nilikuja kumwambia mama ukweli....akanisema yakaisha.