Lengo la sikukuu ni kukumbuka kuenzi mema yaliyopita...mfano kukumbuka kuzaliwa kwa Yesu kristo n.k...suala la matumizi ni mfumo tu Wa maisha tuliojizoesha tangu kitambo kwamba ikifika sikukuu lazima upike vya gharama,watoto wavae vizuri,kusafiri,starehe na kadhalika