Sikulazimishi ila huu ndiyo mtizamo wangu wa Kiufundi baada ya Kariakoo Derby

Kotei si mbaya ila nafikiri namna anavyoambiwa acheze.

Kwangu Mimi nilivyomuona Mwanjali yupo ndani nikajawa Na wasiwasi.Namba NNE angeweza kucheza hata Kotei,Mwanhali ni mzuri ila hawezi kukimbizana Na watoto Kama Mwashiuya.Atafeli tu.

Pia Omog kiukweli Hana mbinu zaidi pale aachwe aende zake tu.
 
Mmmh
 
.....kweli simba ilituzidi KISHIRIKINA......PAMOJA NA YONDANI KUVAA FURUSHI KIUNONI lakini WAMEPATA SULUHU......simba noma sana
 
Mara paap Ngoma,Tambwe na Kamusoko ndani...watu wangepotea mjini kama tausi wa Ikulu
 
Asante kwa kuwa mkweli


Huo uchambuzi si sahihi kwa sababu ume base kwenye Kotei na Niyonzima ukiwalinganisha na Mkude na Ndemla. Kwa mtizamo wa watu wa simba kwa ujumla, watu walioonekana hatari kidogo jinsi ligi ilivyokuwa inaenda ni Ajibu na Chirwa, kwa vipaji vyao binafsi na kwa Ajib siyo kwa mpira mkubwa bali kwa potential ya scandal.

Ajib angefunga lisingekuwa jambo la ajabu kwani kafanya hivyo tangu akiwa Simba na mpaka ana a.k.a kwa hilo, bali ingekuwa fursa ya kuikejeli Simba kwa sababu ambazo mtu yeyote anaweza kuelewa. Ajib alikuwa zaidi ni kero na si tishio. Upana wa kikosi cha Simba unasaidia mengi, kuziba mapengo kwa aina pana za mechi na mazingira.

Wakati mwingine unahitaji wazoefu, wakati mwingine stamina, wakati mwingine watu wa jihad. Hapo ndiyo suala la tactics linakuja, yaani the right time ya kuwatumia wote hao.

Unachotakiwa kujua ni kuwa Simba imekuwa pia ina tatizo la wachezaji wenye vipaji bali wasiojituma na wenye nidhamu mbovu. wengi tunajua tofauti ya nidhamu kati ya wachezaji toka nchi za nje hasa West Africa na hapa kwetu hata jirani zetu.

Kwa kifupi Omog alikuwa hajapata first 11 ya ukweli kwani ni bado mapema ktk na hajakutana na timu za kusaidia hilo. Kwa mechi ya watani, first 11 inaweza kuwa na sehemu kubwa ya wachezaji waliokuwepo baada ya kuingia Mkude, yaani Mavugo awe out, mzamiru na ndemla wa interchange kutegemea na mechi. Ndemla wakati mwingine anafaa hata ku exchange na Kichuya etc. Ila Mavugo anai cost sana Simba anaipotezea opportunity nyingi sana.

All in all, composure ya Simba ilikuwa kubwa na confidence kubwa. Swali? Ball Possession ya 55 dhidi ya 45 unawezaje kuruhusu mpira unaanza na kenda moja kwa moja golini. Hapo panataka dawa kubwa hasa ya saikolojia, vinginevyo Simba waliizidi yanga ingawa mpira ni magoli. MANULA aongeze seriousness, MWANJALI mmh, lile goli la Azam pekee mwaka jana lilitunyima ubingwa, off course na yale mawili ya yule kipa mu ivory. MANULA AMESHAFUNGWA MAGOLI MABAYA KULIKO YOTE YA MSIMU ULIYOPITA WANAOHUSIKA WAMWELEZE UKWELI.
 
Mara paap Ngoma,Tambwe na Kamusoko ndani...watu wangepotea mjini kama tausi wa Ikulu

Mpira hauko hivyo ukiona hata Ajib anayeujua mpira alikuwa anarandaranda uwanjani, tambwe angepata wapi mpira? simba walikuwa wanapiga pasi uwanja mzima! ilinikumbusha Al ahly ya egypt ya kina Tareek Abu Zeid iliyocheza na Yanga Taifa miaka ya 90 afu Ajib ndiyo kama alivyokua Mar. Selestine Sikinde Mbunga. wakatoka sare 1-1. Kwenda Egypt walipigwa sijui ngapi? sasa sijui duru la pili ila viwango tofauti. Haifai kuongea sana mtasema mbona hamkufunga hata Everton walitoka sare na Gor.
 
Uchambuzi mzuri, kiukweli Mkude na Ndemla wanabaniwa na waaaribu talent zao kukaa hapo Msimbazi.
Na hapo ndipo anaponikeraga afu anamuweka luizio.. dadekiiii
 
Niatumia sana simba wakikosa ubingwa mwaka huu halika nitaimia saaaana na sitaki hata kufikiria japo naanza kuona simba hawajagundua sababu ambazo zina wakosesha ubingwa.ikiwa hawajagundua defenetly watarudia kosa
Naumia sana
 

Kama uchambuzi wangu siyo sahihi je wako huu ndiyo umeoana ni sahihi? Pumbavu mkubwa Wewe halafu jifunze kuheshimu mawazo ya Mtu. Kwahiyo ulikuwa unavizia Mtu aje na ' uchambuzi ' au ' mtizamo ' wake juu ya hiyo ' derby ' kisha ndipo useme siyo sahihi? Pumbavu mkubwa Wewe. Mwisho jiulize ni kwanini ' nimekushambulia ' Wewe halafu kuna Members wengine ambao wamepingana na huo mtazamo / uchambuzi wangu na nimekubaliana nao Kimsingi / Kihoja. Mwisho mtafute Mtu hapo ulipo ambaye amekuzidi ' akili ' kisha muulize ni kwanini katika hii ' mijadala ' ya Mtandaoni Mtu anatakiwa kufanya ' critique ' na siyo kufanya ' criticize ' labda unaweza ukajifunza zaidi. Pumbavu.
 
Nashangaa hadi saiz sijaskia habari za Omog kutimuliwa! Au wanasubiri hadi tukadondoshe point zote tatu nyanda za juu wiki ijayo?! Alafu manara amezidi uropokaji, hana tija yoyote!!
Nakubaliana na wewe, inaelekea Simba wanaona ligi hii bado sana. Ligi ilishaanza kitambo na ninachokiona watajichanganya kidogo tu either na vidroo au kufungwa na itakuwa ndio mwisho wao.

Naona Yanga wanaimprove kila leo wakati Simba wanashuka kila leo, wasipofanya mabadiliko ya kocha sasa hivi wasije wakaanza kutafuta rufaa FIFA.

Inaniuma sana tena sana kumuweka bench one of the best midfielders in Eastern and Southern African football, Jonas Mkude. What has this young man done to deserve all this. Alipoingia yeye kama dakika kumi na kitu katikati pakabadilika kabisa. Namshauri Mkude atafute klabu nyingine msimu mwingine aachane na uswahili wa klabu ya Simba, japo roho itaniuma sana.
 

mimi nimetumia msemo si sahihi na kujaribu ku elaborate, lakini wewe umenitukana mpumbavu! sasa sioni kama una moral authority ya kuni guide kuhusu tofauti kati ya criticism and critique, nafikiri tuachie hapo, time will tell.
Thanks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…