ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 150
- 173
DATAZ FT SOGGY DOGGY.
- SIKUTAKI
Intro..
( Soggy doggy)...
"Sikiliza dataz mi nimekuja tuyaongee tuyamalize nini lakini"
( Dataz..)
"Soggy umefuata nini kwetu nilishasema sitaki..
( Soggy doggy)
"Sikiliza dataz lakini mbona hivyo lakini Eeeh!!
( Datazi)
Nilikupa nafasi ukaichezea wakati ni ukuta umesha luka wako ovyo sitaki!!
( Soggy doggy)
"Dataz lakini samahani naomba unisamehe Datazi
(Dataz)
"Umenidanyanya mara ngapi? Nimekusamehe sikutaki Tena....
Verse 1. (Dataz)
"Ulikuwa usiku wa mkesha wa mwaka mpya/ ndipo nilipomfumania mpenzi wangu na kimwana kipya/ nikamuuliza samahani honey huyo ndio nani.. Ni nani...?/
( Soggy doggy)
"Usijali mpenzi mrembo wangu..!! Karudi juzi tu kutoka ujerumani...
(Datazi)..
"Kwa jinsi nilivyompenda na majibu aliyonipa/ aliniridhisha baada ya siku mbili, Tatu/ nikasafiri kuelekea Arusha/ rahasha!!.. mambo niliyoyasikia nikiwa huko/ yanasikitisha nikiwepo unasema unanipenda/ nisipokuwepo anani nyenyusha mashangingi wa kweli mpenzi/ wanakutia kiwewe kila kona wanakuta buzi/ toka masaki mpaka kawe/ mpenzi kumbuka ni wapi tulipotoka mimi na wewe/ sasa nasema hivi! Usinijue nakulia jiwe na lolote liwe/ heri niwe pekee yangu/ kwako sina Tena changu/ mimi sio size yako Tena/ ka angaike na machangu/ kijana unafanya mambo humuongopi hata mwenyezi Mungu/ unavunja amri ya sita, ya saba, ya nane, ya tisa na halafu Bado unataka uwe mpenzi wangu/ sikutaki Tena..!!
Chorus...
( Soggy doggy )
Baby I love 💕 u
( Dataz )
I hate u
( Soggy doggy)
I love 💕 u
( Dataz )
I hate u
( Soggy doggy)
I love 💕 u
( Dataz)
I hate u so much right now
( Soggy doggy)
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki ..!!
(Doggy doggy )
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki Tena.!!
( Soggy doggy)
Baby I love 💕
( Dataz )
I hate u
( Soggy doggy)
I love 💕 u
( Dataz)
I hate u so much right now
( Soggy doggy)
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki..!
( Soggy doggy)
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki Tena ..!!
Verse ..2 ( Dataz)
"Mapenzi yetu Enzi hizo yalikuwa kama ya kulwa na Dotto/ mimi nikiwa mkono wa
Kulia wewe unakuwa wangu wa kushoto/ mapenzi yetu Enzi hizo yalikuwa moto moto/ watu walikuwa wakitusifu jinsi tulivyokuwa na mapenzi ya mvuto/ tena mazito lakini nashangaa penzi letu limeisha kama lipasukavyo puto/ kumbuka mpenzi sikukupendea kidato wala kipato/ mara ya kwanza kukuona ulikuwa na baiskeli/ na leo hii una vito ulishangeuka soggy wa watoto/ I hate u, nakuchukia sitaki hata kukusikia/ mwanzo nilikuona nyama lakini leo hii kama ni mbonga wewe bamia/ hamu yote imeniishia timua ishia/ kacheze na viluka njia/ ulikuwa dreva ,utabaki kuwa abilia/ sikutaki Tena ..
( chorus) repeat .
Verse 3 ( Dataz)
Hakuna Tena kujuana/ kila ulichotaka nilisema Eeh bwana bwana!! / Ukaningeuza mpira ukanichezea ndanandana/ usikatee wewe ni muhuni kila mtu ana fahamu chukua time/ kula Kwa macho , kutesa kwa zamu/ waachie wenzio walio na hamu / ama kweli binadamu hapendeki/ mwenzio nakupenda unaningeuza tambala la deki/ sikutaki Tena../ labda kamfute Jackie huna kile unakitaka hata hiki/ uliponitaka ulisema nina kupenda sana / huna lolote kumbe unanindanganya bwana/ sikutaki Tena..
( Chorus..) Repeat..
🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
End...
ukwaju_wa_ kitambo
0767 542 202
#funguk
- SIKUTAKI
Intro..
( Soggy doggy)...
"Sikiliza dataz mi nimekuja tuyaongee tuyamalize nini lakini"
( Dataz..)
"Soggy umefuata nini kwetu nilishasema sitaki..
( Soggy doggy)
"Sikiliza dataz lakini mbona hivyo lakini Eeeh!!
( Datazi)
Nilikupa nafasi ukaichezea wakati ni ukuta umesha luka wako ovyo sitaki!!
( Soggy doggy)
"Dataz lakini samahani naomba unisamehe Datazi
(Dataz)
"Umenidanyanya mara ngapi? Nimekusamehe sikutaki Tena....
Verse 1. (Dataz)
"Ulikuwa usiku wa mkesha wa mwaka mpya/ ndipo nilipomfumania mpenzi wangu na kimwana kipya/ nikamuuliza samahani honey huyo ndio nani.. Ni nani...?/
( Soggy doggy)
"Usijali mpenzi mrembo wangu..!! Karudi juzi tu kutoka ujerumani...
(Datazi)..
"Kwa jinsi nilivyompenda na majibu aliyonipa/ aliniridhisha baada ya siku mbili, Tatu/ nikasafiri kuelekea Arusha/ rahasha!!.. mambo niliyoyasikia nikiwa huko/ yanasikitisha nikiwepo unasema unanipenda/ nisipokuwepo anani nyenyusha mashangingi wa kweli mpenzi/ wanakutia kiwewe kila kona wanakuta buzi/ toka masaki mpaka kawe/ mpenzi kumbuka ni wapi tulipotoka mimi na wewe/ sasa nasema hivi! Usinijue nakulia jiwe na lolote liwe/ heri niwe pekee yangu/ kwako sina Tena changu/ mimi sio size yako Tena/ ka angaike na machangu/ kijana unafanya mambo humuongopi hata mwenyezi Mungu/ unavunja amri ya sita, ya saba, ya nane, ya tisa na halafu Bado unataka uwe mpenzi wangu/ sikutaki Tena..!!
Chorus...
( Soggy doggy )
Baby I love 💕 u
( Dataz )
I hate u
( Soggy doggy)
I love 💕 u
( Dataz )
I hate u
( Soggy doggy)
I love 💕 u
( Dataz)
I hate u so much right now
( Soggy doggy)
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki ..!!
(Doggy doggy )
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki Tena.!!
( Soggy doggy)
Baby I love 💕
( Dataz )
I hate u
( Soggy doggy)
I love 💕 u
( Dataz)
I hate u so much right now
( Soggy doggy)
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki..!
( Soggy doggy)
Nakupenda
( Dataz)
Sikutaki Tena ..!!
Verse ..2 ( Dataz)
"Mapenzi yetu Enzi hizo yalikuwa kama ya kulwa na Dotto/ mimi nikiwa mkono wa
Kulia wewe unakuwa wangu wa kushoto/ mapenzi yetu Enzi hizo yalikuwa moto moto/ watu walikuwa wakitusifu jinsi tulivyokuwa na mapenzi ya mvuto/ tena mazito lakini nashangaa penzi letu limeisha kama lipasukavyo puto/ kumbuka mpenzi sikukupendea kidato wala kipato/ mara ya kwanza kukuona ulikuwa na baiskeli/ na leo hii una vito ulishangeuka soggy wa watoto/ I hate u, nakuchukia sitaki hata kukusikia/ mwanzo nilikuona nyama lakini leo hii kama ni mbonga wewe bamia/ hamu yote imeniishia timua ishia/ kacheze na viluka njia/ ulikuwa dreva ,utabaki kuwa abilia/ sikutaki Tena ..
( chorus) repeat .
Verse 3 ( Dataz)
Hakuna Tena kujuana/ kila ulichotaka nilisema Eeh bwana bwana!! / Ukaningeuza mpira ukanichezea ndanandana/ usikatee wewe ni muhuni kila mtu ana fahamu chukua time/ kula Kwa macho , kutesa kwa zamu/ waachie wenzio walio na hamu / ama kweli binadamu hapendeki/ mwenzio nakupenda unaningeuza tambala la deki/ sikutaki Tena../ labda kamfute Jackie huna kile unakitaka hata hiki/ uliponitaka ulisema nina kupenda sana / huna lolote kumbe unanindanganya bwana/ sikutaki Tena..
( Chorus..) Repeat..
🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
End...
ukwaju_wa_ kitambo
0767 542 202
#funguk