dah! nakulaumu sana mwana...kitu unayo geto,sita kwa sita halafu inaondoka hujaichapa? aaaah...we sio mwana...ndo maana kingston unawaongopea umechapa..manake ungewapa ukweli wana wangekutenga!
Wana JF kuna siku nikiwa naishi Mkoani Tanga sikuamini kilichonitokea kwani kulikuwa kuna dada mmoja nilisoma nae shule ya sekondari form five na six.Tulipotezana kwa muda na baadae kuja kukutana tena na kila mmoja alikuwa ameajiriwa na kazi yake basi tulianza mawasiliano ndipo siku moja akafunga Safari kutoka Dar hadi Tanga.Nilimpokea vizuri na kwenda nae hadi kwangu.Mimi nilikuwa ninachumba kimoja tu hivyo nae hakusita kuwa nami katika chumba hicho.
Kama mwanaume lijali nilijua wazi kuwa usiku lazima ni chakachue siku ya kwanza tulilala kitanda kimoja kila nikiomba mchezo alinitosa kabisa? Siku ya pili ilikuwa hivyo hivyo ila nilijaribu kulazimisha kilichotokea ni kuambulia kuishika tu kwa mbali.
Sikuweza kuamini na kila mtu na marafiri zangu walijua siku hiyo mimi nimechakachua lakini ukweli sikuchakachua na ilibidi nijifanye kuwa nilichakachua tu na kujipa imani kuwa nitachakachua. Na siku ya tatu nilimsindikiza na kumfanyaia shoping tayari kwa kwenda kwao Dar.
Je nilichokifanya kilikuwa sahihi au nilikosea ? hadi leo nikimpigia simu huwa anacheka tu.
Wana JF kuna siku nikiwa naishi Mkoani Tanga sikuamini kilichonitokea kwani kulikuwa kuna dada mmoja nilisoma nae shule ya sekondari form five na six.Tulipotezana kwa muda na baadae kuja kukutana tena na kila mmoja alikuwa ameajiriwa na kazi yake basi tulianza mawasiliano ndipo siku moja akafunga Safari kutoka Dar hadi Tanga.Nilimpokea vizuri na kwenda nae hadi kwangu.Mimi nilikuwa ninachumba kimoja tu hivyo nae hakusita kuwa nami katika chumba hicho.
Kama mwanaume lijali nilijua wazi kuwa usiku lazima ni chakachue siku ya kwanza tulilala kitanda kimoja kila nikiomba mchezo alinitosa kabisa? Siku ya pili ilikuwa hivyo hivyo ila nilijaribu kulazimisha kilichotokea ni kuambulia kuishika tu kwa mbali.
Sikuweza kuamini na kila mtu na marafiri zangu walijua siku hiyo mimi nimechakachua lakini ukweli sikuchakachua na ilibidi nijifanye kuwa nilichakachua tu na kujipa imani kuwa nitachakachua. Na siku ya tatu nilimsindikiza na kumfanyaia shoping tayari kwa kwenda kwao Dar.
Je nilichokifanya kilikuwa sahihi au nilikosea ? hadi leo nikimpigia simu huwa anacheka tu.
kaka haya mageto si ndiyo yamewafanya akina babu seya wapate shida hadi leo?
Lakini kwanini asingeniambia nimchukulie nyumba ya wageni tu kuliko kulala nae kitanda kimoja?
Sidhani kama swala na kutovutiwa kwa mapenzi linaweza kuwa kigezo cha siku hiyo kukosa kuchakachua!labda alitaka kusikia joto lako
labda alaitaka kukupim a uvumilivu,busara,hekima na ustahimilivu wako
alitaka kukupima uanaume wako
ITS REAL GUD KULALA NA MTU BILA KUMPA THEN SIKU NYINGNE ASIYOITEGEMEA NDO UNAMPA...just kamtihan fulan ivi for some gals....shurut upimwe kdg siyo kurupukutu ndan..ahh aipendez km ulikuwa na hamu ya ku do fasta fasta asi ungeshika wa kindoni...!!!
afu wanaume wengne wana vilema sikuiz lazima upime kwanza vtendea kaz isije ikawa....ukatoka nduki na BAADHI ya nguo mkonon...!!!!!!
NAS HUENDA ALIKUWA HAJISIKII KUKUPA/HAUJAMVUTIA KIMAPENZ ...ata mademu pia tunatest zetu kuna wanaume wengne bariiid wala hawavutiii ..ukimfikiria kitandan unaona ahhh uyu atanileteqa usumbufu tu lakin wengne ukiwaona unaona yap apa kaz itakwepo ata km ukienda ukakuta kazi neh bt ata list ulijiridhsha mwanzon....
Zipuwawa kiasi utakuwa umekosea kabla na baada ya hiyo incident.
Kwanza hukutakiwa kulazimisha msaliboko. Pili ulitakiwa kuplay down the whole incident yote.
Next time in ur conservation don't talk to her anything about that incident. Just sound positive and talk about anything in life other than love. If interested in U she will bring up the subject and that should work in your favour.
ulifanya vyema
mwte tena akutembelee
ipo siku atakupa
usilazimisha dudu play
u just subiri tym wl tell na atakupa yeye mwenyewe!!
Anacheka kwa sababu anakuona zoba...kumbuka kuna watu mpaka wachaniwe nanihii ndio watoe dem..sasa kama we hujui yeye huko aliko anakushangaa..Ndio maana nawambia sikuamini kilicho nitokea!
Tanga?........ Ungejaribu tIGO labda ndo line anayotumia!