Sikutegemea jamii yenye sehemu kubwa ya wapinga ushoga kumtetea hivi Dkt. Nawanda

Sikutegemea jamii yenye sehemu kubwa ya wapinga ushoga kumtetea hivi Dkt. Nawanda

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hii kesi ya ulawiti ya Dkt Nawanda imeleta sintofahamu kubwa sana kama ukiyatazama mambo ya ulawiti na ushoga kwa jicho pana zaidi.

Watanzania karibia 99% ni watu wanaopinga sana ushoga, jambo la kushangaza katika maoni ya watu kwenye kesi ya kulawitiwa binti Tumsiime na aliyekuwa RC wa Simuyu Dkt Nawanda raia wamegawanyika nusu kwa nusu, pia kuna kundi kubwa sana linalomkejeli huyo binti.

Kuna wanaomlaani huyo binti kwamba ametumika kisiasa, kuna wanaosema huo ni mchezo wa huyo binti, kuna wanaolaani binti mdogo kujihusisha kimapenzi na mzee.

Pia soma
 
Dr mzima kufukua chemba za choo ni aibu
Namwanda ni Al haj pia ni PhD holder lakini pia alikua RC wenyewe wanajiita Marais wa mkoa.
Al haj alipomtongoza binti aliweka wazi alikua anataka tiGo tu. Kumbuka Ni Al haj huyu. Mkuu wa mkoa huyu, kiongozi mkuu anayestahili kuigwa kitabia. Kumbe mpenda harufu ya choo.
 
Namwanda ni Al haj pia ni PhD holder lakini pia alikua RC wenyewe wanajiita Marais wa mkoa.
Al haj alipomtongoza binti aliweka wazi alikua anataka tiGo tu. Kumbuka Ni Al haj huyu. Mkuu wa mkoa huyu, kiongozi mkuu anayestahili kuigwa kitabia. Kumbe mpenda harufu ya choo.
Inasikitisha sana
 
Lakini Hawa watoto wa 2000 wakorofi sana, ghafra tu anakubadilishia channel bila taarifa utafanyqje?..Pole DK.
 
Hii kesi ni ya kutengeneza tu kwa alichokuwa anakifanya ilikuwa lazima aundiwe zengwe alikuta genereta la refferal hospital kisa vitu vya laki moja ikiwemo chumvi akawachukulia hatua wahusika nao wamelipiza kisasi.
 
Hii kesi ya ulawiti ya Dkt Nawanda imeleta sintofahamu kubwa sana kama ukiyatazama mambo ya ulawiti na ushoga kwa jicho pana zaidi.

Watanzania karibia 99% ni watu wanaopinga sana ushoga, jambo la kushangaza katika maoni ya watu kwenye kesi ya kulawitiwa binti Tumsiime na aliyekuwa RC wa Simuyu Dkt Nawanda raia wamegawanyika nusu kwa nusu, pia kuna kundi kubwa sana linalomkejeli huyo binti.

Kuna wanaomlaani huyo binti kwamba ametumika kisiasa, kuna wanaosema huo ni mchezo wa huyo binti, kuna wanaolaani binti mdogo kujihusisha kimapenzi na mzee.

Pia soma
Ila wanaume tuna roho mbaya sana yule mama aliwaingizia vijana chupa mpaka leo yupo bungeni lakini tena na videos za ushahidi zilikuwepo sasa huyu mnamuandama kwa kitu cha kutengeneza.
 
Namwanda ni Al haj pia ni PhD holder lakini pia alikua RC wenyewe wanajiita Marais wa mkoa.
Al haj alipomtongoza binti aliweka wazi alikua anataka tiGo tu. Kumbuka Ni Al haj huyu. Mkuu wa mkoa huyu, kiongozi mkuu anayestahili kuigwa kitabia. Kumbe mpenda harufu ya choo.
Hivi kwanini akina Al haji wanapenda sana mitaro
 
Wanasiasa wanatumia machawa kumsafisha mbakaji na mlawiti wa watoto.

Mitandao ya kijamii siyo reflection nzuri sana ya kujua uhalisia wa mambo, mtu anaweza akafungua fake ID 4000 akawa anaandika utetezi tu

Huyo RC atabaki kuwa mlawiti wa watoto
 
Hii kesi ya ulawiti ya Dkt Nawanda imeleta sintofahamu kubwa sana kama ukiyatazama mambo ya ulawiti na ushoga kwa jicho pana zaidi.

Watanzania karibia 99% ni watu wanaopinga sana ushoga, jambo la kushangaza katika maoni ya watu kwenye kesi ya kulawitiwa binti Tumsiime na aliyekuwa RC wa Simuyu Dkt Nawanda raia wamegawanyika nusu kwa nusu, pia kuna kundi kubwa sana linalomkejeli huyo binti.

Kuna wanaomlaani huyo binti kwamba ametumika kisiasa, kuna wanaosema huo ni mchezo wa huyo binti, kuna wanaolaani binti mdogo kujihusisha kimapenzi na mzee.

Pia soma
We specialize in contradictions.

Ni hivi, katika mfumodume wetu, mwanamme kumla mwanamke tigo si ushoga. Wala si issue kubwa. As long as mwanamme yuko dominant na anamfanya mwanamke, mfumodume wetu hauna tatizo.

Pia, mwanamke anayetoka na mwanamke mwenzake si issue kubwa, huyo utasikia anasemwa kwamba hajapata mwanamme wa kumtuliza tu.

Hata basha anayemla mwanamme mwenzake huwa hachukuliwi vibaya sana. Kwa sababu bado ni mwanamme anayefanya, hafanywi.

Anayetukanwa sana ni mwanamme msenge anayeliwa na mwanamme mwenzake.

Huyu anaonekana mbaya kabisa, kwa sababu kakataa uanamme na kachukua nafasi dhalili ya mwanamke.


View: https://x.com/Chahali/status/1809924413279605124?t=SVf-us97K3qz402LzxLCYQ&s=09
 
Back
Top Bottom