Sikutegemea kama Kariakoo kuna fremu za milioni 12

Laki saba kwa mkataba wa miezi sita au ni mwezi mmoja tu?
mkuu kkoo hakuna mkataba wa mwezi...mwaka wewe ndio unaomba ulipe miezi sita na sio hawamu ya kwanza..hawamu ya kwanza ni mwaka vyumba vipo ni wewe unataka kufanya biashara gani kutana na wahusika wenyewe ili usitajiwe kodi ambayo haipo...yaani ya juu sana..
 
Frame ya laki 7 kwa mzunguko gani wa biashara uliokuwepo sasa hivi?
 
Pole
 
Sasa kama mtu anashindwa kuwa na iyo smartphone awezi kumiriki biashara kariakoo
Unless awe ajui technology na education
Kwani anayeuziwa bidhaa ni mfanyabiashara au mteja? Sasa unashangaa mteja kukosa smartphone? Mfanyabiashara ana smartphone, mteja hana, hiyo biashara inafanyikaje?
 
Reactions: Auz
Ila hao wenye fremu wanalipa kodi kiasi gani serikalini? Nimejiuliza tu isiwe ndiyo mabingwa wakukwepa kodi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…