Sikutegemea nilichokikuta ukweni

Sasa anachukua baba, yeye ndio muolewaji? 😂🤣
 
Good 😀
 
Ndio unakuwa mwanamume boya ww,wwe ukiona watu Wana wake zao mnachukulia poa tuu.wake za watu wamegharimikiwa,ndio maana mtu akikugundua unakula mke wake na wewe anakutolea magari.
 
Kumbe paipu zina rangi zaidi ya black na white? Hahahaaa 🤣 🤣 🤣 🤣 😊 mepitwaa
 
Mpigie mimba afu jikaushe, watamfukuza home wenyewe zen unampata free.
 
Oa ukaharibike chizi wewe , achana na huo ushetani wa kuoa
 
Sasa anachukua baba, yeye ndio muolewaji? 😂🤣
Yaani unataka utoe mahari halafu binti aje nayo tena kwako muifaudu? Hiyo kitu haipo hivyo mkuu! Kwa mila za Kisukuma ilikuwa binti akiolewa mahari hiyo hiyo ndiyo itamsaidia kaka kwenda kuolea. Kwa hiyo ilikuwa inazunguka hivyo! Na hii ilikuwa inaleta chuki sana kati ya shangazi na mawifi! Vishangazi vilikuwa vinataka kuwapanda kichwani mama zetu kisa eti kaletwa pale kwa ng'ombe za kenyewe kalipoolewa!!
 

Karne hii unalipa mahari?

Wewe ndio unamatatizo.
Ungetoa msimamo wako kwa huyo mchumba achague kusuka au kunyoa

Unasema 6m ni kukomoana huoni kama wewe ukiwapa uliyonayo ni kuwakomoa?

Siku siku nyingine usifanye hivyo
Dunia ipo mbele sana
 
TUmewahi kufanya tukio kama hili iringa
 
Mahari mbona ni jambo linaloongleka kwa pande zote mbili au wazee wako walishindwa kuongea nao kisawasawa?
Next time unachagua wazee wanaojua hizo kazi
 
Sisi tulipokelewa kwa vipeperushi ambavyo vimeandikwa gharama zote. Binti alikuwa tayari mjamzito hivyo kulikuwa na faini pia ya uhaeibifu. Kupiga hesabu ikawa 5.5M. Kijana akapigiwa simu akasema wabembelezeni. Tukaingia ndani ongea nao wee wale wazee wakakaza. Tu katoka nje tukamwelekeza kijana maana yeye haukwenda. Tukamwambia haya tuma pesa ya kuongeza hapo nae hana. Tukaingia tukaaga kwa kuahidi kuwa Tutarudi wakati mwingine. Hapo ndio wazee wakaanza nasaha. Wakashuka weeh mpaka tukafika sehemu panawezekana😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…