I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Nilipata kufahamu hilo na lilinishangaza sana mwezi uliopita baada ya kusoma mahali juu ya shutuma kwa shirika la ndege la KENYA AIRWAYS kwa kupaa mwendo kasi. Inachekesha lakini kila kitu kina utaratibu wake. Wajuzi wa mambo haya mtupe mbili tatu.