Princetaffa
New Member
- Sep 5, 2022
- 2
- 12
Sikuzote njia ya ushindi katika maisha ni kutokata tamaa.
1) Amka na kuwa makini katika kila jambo utalofanya ila liwe la kukuengezea uchumi.
2) Usikubali kukatisha tamaa, maisha bora yanahitaji uvumilivu.
3) Jiangalie mara mbili wewe unataka kuja kuwa mtu wa dizaini gani, ukipata jibu basi zidi kukaza kamba.
4) Ulishawaza kupunguza marafiki wasiokua na fikra katika maendeleo yao.
5) Ukizingatia haya machache niokupa basi utapiga hatua.
By princetaffa
1) Amka na kuwa makini katika kila jambo utalofanya ila liwe la kukuengezea uchumi.
2) Usikubali kukatisha tamaa, maisha bora yanahitaji uvumilivu.
3) Jiangalie mara mbili wewe unataka kuja kuwa mtu wa dizaini gani, ukipata jibu basi zidi kukaza kamba.
4) Ulishawaza kupunguza marafiki wasiokua na fikra katika maendeleo yao.
5) Ukizingatia haya machache niokupa basi utapiga hatua.
By princetaffa