Silaha za Laser: Marekani na mbio za silaha mpya za miale na mionzi (DEW) katika Karne ya 21

Kiduku ni mjeuri tu, hayo makombora yake anayojaribu kila siku yanampa kiburi.
Kiduku kwanza makombora yake sio advanced ni ya kizamani sana. Halafu yeye ni mshamba sana ni sawa na mtu aliye baa na kila saa anaonyesha watu bastola yake.
 
Hukuona utafiti wa makinikia na uchafuzi wa mto Mara ?
..... Hiyo inakuonyesha sisi ni watu wa sampuli gani halafu eti tukibaguliwa tunalalamika vibaya. Cursed Race.
 
Africa tunasoma historia ya science, archimerdes princ, law of flotation etc
 
Mkuu hayo ni majaribio nimekupa exactly kilichotokea vitani, uturuki yupo Ahead of the rest kwenye hizo tech. Mpaka unaona silaha inaenda vitani ujue imeshapitia phase nyingi.
 
So hio budget waliopitisha ni hewa? Ungeandikia senate yao waache kupoteza Hela maana defence tayari wanayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…