Zitto alikuwa ni one of the Big Guns za CHADEMA, yaani kwenye top 3 unamkuta Mbowe, Slaa na Zitto; kipindi hicho hawa wengine kama kina Lissu, Lema na wengineo hawajaibuka kiivo, Kiufupi alikuwa moja kati ya Pillars za chama alipofutiwa uanachama Zitto aliendelea kuwa muungwana sana kwa namna fulani na hakupiga makelele na kutoa kashfa kwa chama au viongozi wake wakuu ndio maana hata leo CHADEMA haioni shida kuona namna ya kushirikiana na Zitto kwenye chaguzi.
Hawa jamaa Silinde na wenzake kwanza sio pillars za chama ivyo hawana athari lakini tangu watoke CHADEMA wamekuwa hawatulii ni kutukana viongozi wao wa zamani na kashfa kibao hawajui wao ni vijana na kama watabaki kufanya siasa safari ingalipo ndefu; Wekeni akiba ya maneno jifunzeni kwa Zitto.
Pia soma > Silinde ajifunze ''busara'' za Lijualikali
Hawa jamaa Silinde na wenzake kwanza sio pillars za chama ivyo hawana athari lakini tangu watoke CHADEMA wamekuwa hawatulii ni kutukana viongozi wao wa zamani na kashfa kibao hawajui wao ni vijana na kama watabaki kufanya siasa safari ingalipo ndefu; Wekeni akiba ya maneno jifunzeni kwa Zitto.
Pia soma > Silinde ajifunze ''busara'' za Lijualikali