demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Hatuna Fadhil Niyonzima. Bado anahitajika Yanga.
1: Kapteni mzuri sana uwanjani. (Anamsaidia mwl kuongoza wachezaji uwanjani)
2: Pasi za mwisho na krosi. Pia deadballs.
3: Mzoefu kubadilisha aina ya mchezo ( plan B)
MAPUNGUFU
1: HARUNA hakabi
2: Umri hawezi kucheza 90 kwa kasi ile ile
3: Anacheza na jukwaa.
Apewe mkataba mwaka mmoja ,wakati mwl akimtengeneza kiungo mbadala ( Zulu,Mahadhi,Makapu)
1. Kapteni mzuri sana uwanjani kushinda Cannavaro?
2. Pasi za mwisho amezidiwa na KAMUSOKO na MSUVA.
3. Anaweza badilisha mchezo dhidi ya JKT ruvu na Toto African pekee, ila sio dhidi ya Timu kubwa kama AL ahly na Zesco United.( You dont have to expect it from any foreign player playing in our clubs)