Silipendi jukwaa hili...! Full stress!!

Silipendi jukwaa hili...! Full stress!!

gango2

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2011
Posts
1,956
Reaction score
2,274
Jukwaa hili (MMU) bana yaan % kubwa ya thread ni kupeana stress tupu mara 'hakuna mwaminifu 100%' mara 'mtu aliyemtoa demu bikra ataendelea kumgonga huyo demu hata akiolewa na mtu mwengine' mara ' mwenye mashine ndefu ndio bora (je sisi wenye fupi), mara ' ku do nje ya ndoa si dhambi' yaan full kutupa stress sisi tulipenda kiukweli ukweli....

teh teh naunga mkono hoja liondolewe kwa muda kidooogo
 
Jukwaa hili bana yaan % kubwa ya thread ni kupeana stress tupu mara 'hakuna mwaminifu 100%' mara 'mtu aliyemtoa demu bikra ataendelea kumgonga huyo demu hata akiolewa na mtu mwengine' mara ' mwenye mashine ndefu ndio bora (je sisi wenye fupi), mara ' ku do nje ya ndoa si dhambi' yaan full kutupa stress sisi tulipenda kiukweli ukweli....

teh teh naunga mkono hoja liondolewe kwa muda kidooogo
mwambie Invisible akublock usilione.
 
Ndio maana ikasemwa, muwe mnachanganya na za kwenu........................ kama wewe una kopi na kupest, itakula kwako!
 
Huyu nae hajitoshi,anataka akamilishwe na MMU!!
 
mbaya zaidi hata ukiomba ushauri wa kimawazo tena wakiukweli ukweli watu wanachukulia mzaa !!! tena wanaanza kukuponda
 
Usiwe unaingia MMU kabisa ili usipate stress, pole sana!!
Ila humu kuna ushauri mzuri na mbaya hivyo Mungu amekupa utashi wa kuchagua mema na mabaya. Chukua yaliyo mazuri mabaya waachie wenyewe!!!!
 
Multiple ID @Work. Halafu unajichanganya Kiritimb alisema Chit-Chat wewe umekuja na MMU makubwa
 
Sii Ar Ei Pii
Kwani we umeambiwa ubebe kila kinachoandikwa kama kilivyo?
 
Mtoa mada na wachangiaji wote you have made my day.
Duh, kweli MMU ni Kiboko

@gango2, unaogopa nini akiliwa? Tena kwa siri? Anaenda kuongeza ujuzi tu atoke kwenye huo u-clerk to Manager, kuwa objective utafurahia.
 
we leta success story yako au acha kushiriki.
 
Mtoa mada na wachangiaji wote you have made my day.
Duh, kweli MMU ni Kiboko

@gango2, unaogopa nini akiliwa? Tena kwa siri? Anaenda kuongeza ujuzi tu atoke kwenye huo u-clerk to Manager, kuwa objective utafurahia.

duuu mijitu mingine bana mnaroho ngumu....!
 
Kumbe MMU ni full stress? Nlikuwa sijui

anzisha maada tu yakuomba ushauri....! hee hee heee! mfano mzuri anzisha maada inayosema 'mkewangu ametoka nje ya ndoa naombeni ushauri' ushauri utaoupata humo eeeeeeeeeh unaweza kimbia humu
 
Usiwe unaingia MMU kabisa ili usipate stress, pole sana!!
Ila humu kuna ushauri mzuri na mbaya hivyo Mungu amekupa utashi wa kuchagua mema na mabaya. Chukua yaliyo mazuri mabaya waachie wenyewe!!!!
Evarm napenda avatar yako inaonyesha wewe ni mdogo hafu unaandika kwa font ndogooo
 
Back
Top Bottom