Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
Inasomeka ‘no sim card ‘Nenda settings
Mobile network
Simcard alafu zi turn on
yes itakua fake kabsa maana hata haina bei kabsaHiyo simu ni fake. Ndo zile zilizimwa Tanzania mwaka 2016. Hapo kuna mawili: ipeleke nchi nyingine, au uvunje sheria kwa kubadilisha IMEI
Hiyo simu ni fake. Ndo zile zilizimwa Tanzania mwaka 2016. Hapo kuna mawili: ipeleke nchi nyingine, au uvunje sheria kwa kubadilisha IMEI
Unajiita "enter passcode" halafu hujui kwa nini laini hazisomi!?Salaam,
Nimenunua simu kwa njia ya mtandao (huawei p8 lite),
Imenifikia tyr lakini laini hazisomi,,, wataalamu shida ni nn
Labda sikua makini kwenye kuangalia (mtandao ni KIKUU)
Hamuwezi kukosa raia kama wwUnajiita "enter passcode" halafu hujui kwa nini laini hazisomi!?