Mfanyabiashara Toka Japan
Member
- Aug 23, 2019
- 22
- 19
Msanii na pia ni DJ.Huyu jamaa alikua maarufu kwa issue gan
Hata mimi simjuiMsanii na pia ni DJ.
Wewe hapo mtaani kwenu hata nyumba ya 3 hawakujui
Duuu itupie hapaNimeona video mashabiki wake wamefukua mwili wake kuhakikisha kama ni yeye waangalie tattoo zake
Maelfu ya watu nchini Ivory Coast walikusanyika katika uwanja wa Felix Houphouet Boigny huko Abidjan kushiriki ibada ya kuaga mwili wa marehemu Ange Didier Houon maarufu kama Dj Arafat.
Mazishi yake yamekutanisha watu mashughuli Afrika na duniani wakiwemo pia wasanii na wanamichezo kama Davido, Fally Ipupa, Koffi Olomide, Didier Drogba na wengine wengi.
Kwani lazima !? Mbona povu..!!Msanii na pia ni DJ.
Wewe hapo mtaani kwenu hata nyumba ya 3 hawakujui
Dah, wewe mama wewe!= mashuhuri
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Yap nimeona na watu walikuwa hawaamini kias kwamba kwenda kumfukua na kumcheki walitwanyishwa na mabomu ya machozi hiii ni madlove aiseeeNimeona video mashabiki wake wamefukua mwili wake kuhakikisha kama ni yeye waangalie tattoo zake
Hata mimi simjui
Nashangaa uli vyo mu attack jamaa
Usikute unayemuuliza ni membe
These are just id ' s mzee
Hiyo apoDuuu itupie hapa
Hawajaamini wanachokionaYap nimeona na watu walikuwa hawaamini kias kwamba kwenda kumfukua na kumcheki walitwanyishwa na mabomu ya machozi hiii ni madlove aiseee
Utaachaje kumjua dj arafat mzee?Kwani lazima !? Mbona povu..!!
Mi wala simjui jamaa..
Extra musica ndo nini ?Rapa wa extra musica