Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

Sisi tulichungulia mziki wa Simba kisha tukaangalia kikosi chetu kilijaa watoto kina Nkane. Machale yakatucheza, tukaamua kuwaachia msala Azam.

Wala hatuna haja ya kuangalia game, maana Bingwa tayari ameshajulikana mapema.
vizuri sana mmejiongeza
 
20220113_18215318989.jpg
 
Hawa wapigiwe PIRA biliani mixer minyamaminyama ya kushende...tunashushia na Azam 🥭 ya bariiidi...kitu mujarabu kabisa..
 
Back
Top Bottom