Sasa kwa hicho kifungu kinasema haijalishi hata kama goli kipa kashika kwa mikono au lah,No soma vizuri Mzee. Lazima goalkeeper audake na mikono. But Manula kaucheza kwa miguu. Usiingie kwenye mtego wa wachambuzi uchwara akina Prividinho
Simba itafute striker haraka sanaHatujaacha kitu [emoji41]
Mchezaji Bora wa mashindano - Pape Sakho
Mfungaji Bora - Medie Kagere
Golikipa Bora - Aishi Manula
#MapinduziCup2022 #NguvuMoja https://t.co/LdiEYkk9B6
πππ
Hahahaaaa. Hamna kitu ka hiyo Mtani.πππ
Hapana mtani. Yaani nilikuwa nimebanana na majukumu nikashindwa kuingia hapa wala kuufuatilia mchezo lakini nilijua tuu lazima tushinde
Kati ya mechi zinazotabirika kwa Simba ni Azam. Yanga huwa ni ngumu haitabiriki kwani nyie mtani ubingwa kwenu ni kutufunga π€£Hahahaaaa. Hamna kitu ka hiyo Mtani.
Sema ulikuwa unasikilizia. π€£π€£
Hahahaa. Hivi kama sio ile penalti kulikuwa na kujipigia kweli Mtani.Kati ya mechi zinazotabirika kwa Simba ni Azam. Yanga huwa ni ngumu haitabiriki kwani nyie mtani ubingwa kwenu ni kutufunga π€£
Huyu nilijua lazima tumlambe kwani kwa kikosi cha sasa Azam saizi yetu tunajipigia tu.
Hatujapewa mtani. Yule kipa mshamba kawagharim Azam. Anadakaje mpira akiwa ametanguliza daruga. Ndio maana alizawadiwa kadi. Check highlights utaona mtani.Hahahaa. Hivi kama sio ile penalti kulikuwa na kujipigia kweli Mtani.
Shukuruni tu mulipata goli la kupewa. Teh teh. π
All in all hongereni.
Na nyie mlipewa penati nane mechi moya[emoji28]Hahahaa. Hivi kama sio ile penalti kulikuwa na kujipigia kweli Mtani.
Shukuruni tu mulipata goli la kupewa. Teh teh. [emoji28]
All in all hongereni.
Mi aliniudhi sana yule kipa hakujua tu. πHatujapewa mtani. Yule kipa mshamba kawagharim Azam. Anadakaje mpira akiwa ametanguliza daruga. Ndio maana alizawadiwa kadi. Check highlights utaona mtani.
Ila Azam wanakuja vizuri kwa sasa.
Hata penati isingetokea Simba wangeshinda maana Simba huwa mda unavyoenda wanazidisha mashambuliziHahahaa. Hivi kama sio ile penalti kulikuwa na kujipigia kweli Mtani.
Shukuruni tu mulipata goli la kupewa. Teh teh. π
All in all hongereni.
Mmh!! Labda zamani.hata penati isingetokea Simba wangeshinda maana Simba huwa mda unavyoenda wanazidisha mashambulizi
Amesema nusu beiBei gani mkuu?
Wafanye hata 25 maduka yote!
Jerseys za simba zinapendeza zikivaliwa na mashabiki wengi
Azam wangefungwa tu maana kuna Morrison ndio waliingizwa kuongeza mashambulizi, but baada ya Ile goli Simba iliamua kulinda na mashambulizi ya kushtukizaMmh!! Labda zamani.
Mnapotaka kuchanganya interest zenu za kisiasa na mpira ndio mtaharibu sasa, humu kuna wanaomkubali huyo unaemuita mwendazake na wasiomkubali na wote ni mashabiki wa Simba Sc.Mikosi alikua nayo mwendazake
Usisahau kuwakumbusha na timu iliyofungwa goli nyingi zaidi(goli 9+2)=11 kwenye haya mashindanoHatujaacha kitu π
Mchezaji Bora wa mashindano - Pape Sakho
Mfungaji Bora - Medie Kagere
Golikipa Bora - Aishi Manula
#MapinduziCup2022 #NguvuMoja https://t.co/LdiEYkk9B6
Ile penati ingekuwa wanacheza Yanga pale halafu kipa wa Azam kafanya vile basi yangetolewa shutuma nyingi sana kuwa Kigonya kapewa muamala baada ya mapumziko.Hata penati isingetokea Simba wangeshinda maana Simba huwa mda unavyoenda wanazidisha mashambulizi
Penati za wazi zinaonekana na za miamala zinaonekanaIle penati ingekuwa wanacheza Yanga pale halafu kipa wa Azam kafanya vile basi yangetolewa shutuma nyingi sana kuwa Kigonya kapewa muamala baada ya mapumziko.