Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Simba anashinda ugenini kwa goli tatu moja dhidi ya De Agosto. Magoli ya Chama kiungo konokono (kwa mujibu wa Tate mkuu)[emoji2957][emoji2957], kwa pasi ya Okrah, Israh kwa pasi ya Kanoute, na la tatu likiwekwa nyavuni na generali Phiri kwa pasi ya chama.
Haya siye tumecheza hivi leo, kuna kitu mmejifunza?
Ohooo, la kwao ni la tuta baada ya beki Kennedy Juma kunawa mpira akijaribu kusawazisha!
Haya siye tumecheza hivi leo, kuna kitu mmejifunza?
Ohooo, la kwao ni la tuta baada ya beki Kennedy Juma kunawa mpira akijaribu kusawazisha!