Simba 5 Mufulira Wonders 0

Simba 5 Mufulira Wonders 0

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunakumbushana tu

Lolote laweza kutokea Simba vs Kaizer Chiefs.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
 
Tujipangeni tu msimu ujao tumeshakosea hesabu.
 
Ni kweli kabisa kua kwenye soka lolote linaweza kutokea ila kama Simba watacheza performance ile ile waliyocheza nayo jana basi wataongezwa goli zingine za ziada,

Simba watakua na kibarua kigumu sana cha kuwazuwia Kaizer wasipate goli la ugenini huku wao wakitafuta goli 4 au 5 za kufunga,

Good luck SSC.
 
Mtakachoweza funga labda ni zile sita tu za nyongeza baada ya thelathini za Ramadan.. Mikia nyie
 
Muache kelele,tatizo lenu kelele mingi mpira mdogo.....
waswahili kama kina Manara wanawaanisha Simba ni timu bora kumbe baaado....
Si kweli kwamba mpira mdogo broo.

Kwa jana tulizidiwa akili lakn haimaanishi mpira simba hatuna kabisa. Team zote duniani hufungwa, ongea kisoka sio kinazi.
 
Si kweli kwamba mpira mdogo broo.

Kwa jana tulizidiwa akili lakn haimaanishi mpira simba hatuna kabisa. Team zote duniani hufungwa, ongea kisoka sio kinazi.
Mpira wenu mdogo sana....
tactically mpo zero.....
mnachojua ni kuingiza wachezaji 11 waliovaa nguo za rangi nyekundu baaas
 
Ni kweli kabisa kua kwenye soka lolote linaweza kutokea ila kama Simba watacheza performance ile ile waliyocheza nayo jana basi wataongezwa goli zingine za ziada,

Simba watakua na kibarua kigumu sana cha kuwazuwia Kaizer wasipate goli la ugenini huku wao wakitafuta goli 4 au 5 za kufunga,

Good luck SSC.

The Icebreaker:

Watashinda ila tu "they'll have to left everything on the pitch".

Ila tusiaminishine tena kama tulivyopewa matumaini mwanzo.
 
Back
Top Bottom