Yawezekana una hoja lakini takwimu ulizotumia kuwasilisha hoja zako ni batili. Manzoki amecheza game 10 kati ya hizo game2 amecheza full(dkk90) zingine either ameingia sub au kafanyiwa sub na ametia kamba 2Hata hivyo, huyu manzoki toka amejiunga na Dalian, amecheza mechi moja tu, na hajafunga bao lolote
Kama Simba walishindwa Kuvunja mkataba Manzoki akiwa Viper's hawana uwezo wa kumsajili akiwa China.Yawezekana una hoja lakini takwimu ulizotumia kuwasilisha hoja zako ni batili. Manzoki amecheza game 10 kati ya hizo game2 amecheza full(dkk90) zingine either ameingia sub au kafanyiwa sub na ametia kamba 2
Mkidharauliwa kwa kutokuwa na Akili na Uwezo wa Kuchambua Masuala Mtambuka mnakasirika.Simba wana mpango wa kumsajili siza lobi manzoki, mchezaji wa Dalian Pro ya China, kwenye dirisha dogo la usajili linaloanza December 1, 2022. Ni jambo jema...
Kwahio Manzoki atakuja kuwapa ubingwa mkiwa mshaachwa tayar point 11?Mkidharauliwa kwa kutokuwa na Akili na Uwezo wa Kuchambua Masuala Mtambuka mnakasirika.
Yaani hujui kuwa performance ya Mchezaji pia huchangiwa na Mazingira ya sehemu husika na Saikolojia yake kwa wakati huo?
Hivi kuna Mtu hapa East Africa ambaye hajui / haujui Uwezo mkubwa wa Ufungaji alionao Ceaser Lobi Manzoki?
Fernando Torres aliyekuwa wa Moto alipokuwa Liverpool FC yangu kwa Ufungaji alipohamia Chelsea FC alikuwa wa Moto hivyo hivyo? Je, ulisikia Watu wakimbeza kuwa hana Umuhimu tena katika Timu yoyote ile?
Soka la Afrika Mashariki unaweza kulifananisha na la huko aliko sasa Manzoki? Una uhakika huyu Mayele wa Yanga SC na hivi anavyofunga nae akienda huko Asia aliko Manzoki ataendelea tu Kutetema kwa Ufungaji?
Tena kwa tuliomuona Ceaser Lobi Manzoki, tuliocheza na hata Kuujua vyema huo Mpira na Wafuatiliaji na Wachambuzi wa Mpira tunasema kwa Uchezaji wake na Umahiri wake wa Kufunga Magoli aliouonyesha katika Ligi ngumu ya Uganda kama akija Simba SC na Kukutana na Mpishi na Mtoa Pasi za Upendo ( Shikamoo Marahaba ) Clatous Chota Chama kuna uwezekano Manzoki ndani ya Msimu Mmoja akafunga peke yake Magoli 50 na hili GENTAMYCINE sina Shaka nalo Kwake.
Tena nawaomba Simba SC kwa hili la Kumsajili ( Kumleta ) Manzoki Dirisha hili Dogo lijalo wasichelewe kwani Yeye ( Manzoki ) ndiyo atakuwa Mwarobaini ( Tiba ) ya Ugonjwa mkubwa wa Striking Force ( Mtu wa Kumaliza ) unaotusumbua kwa muda mrefu sasa.
Watu wa Yanga SC acheni Kujificha kwa kujifanya nyie ni wana Simba SC na kwamba mnashauri Simba SC isimsajili Manzoki. Tunajua Yanga SC wengi mnamuogopa Manzoki kwani Moto wake mnaujua hivyo sasa mnataka Kuwavunja Moyo Viongozi wa Simba SC ili wasimsajili ili muendelee Kutesa nyie tu na Mayele wenu.
Tatizo nyie sembe fc kichwani ni weupe.Mkidharauliwa kwa kutokuwa na Akili na Uwezo wa Kuchambua Masuala Mtambuka mnakasirika.
Yaani hujui kuwa performance ya Mchezaji pia huchangiwa na Mazingira ya sehemu husika na Saikolojia yake kwa wakati huo?
Hivi kuna Mtu hapa East Africa ambaye hajui / haujui Uwezo mkubwa wa Ufungaji alionao Ceaser Lobi Manzoki?
Fernando Torres aliyekuwa wa Moto alipokuwa Liverpool FC yangu kwa Ufungaji alipohamia Chelsea FC alikuwa wa Moto hivyo hivyo? Je, ulisikia Watu wakimbeza kuwa hana Umuhimu tena katika Timu yoyote ile?
Soka la Afrika Mashariki unaweza kulifananisha na la huko aliko sasa Manzoki? Una uhakika huyu Mayele wa Yanga SC na hivi anavyofunga nae akienda huko Asia aliko Manzoki ataendelea tu Kutetema kwa Ufungaji?
Tena kwa tuliomuona Ceaser Lobi Manzoki, tuliocheza na hata Kuujua vyema huo Mpira na Wafuatiliaji na Wachambuzi wa Mpira tunasema kwa Uchezaji wake na Umahiri wake wa Kufunga Magoli aliouonyesha katika Ligi ngumu ya Uganda kama akija Simba SC na Kukutana na Mpishi na Mtoa Pasi za Upendo ( Shikamoo Marahaba ) Clatous Chota Chama kuna uwezekano Manzoki ndani ya Msimu Mmoja akafunga peke yake Magoli 50 na hili GENTAMYCINE sina Shaka nalo Kwake.
Tena nawaomba Simba SC kwa hili la Kumsajili ( Kumleta ) Manzoki Dirisha hili Dogo lijalo wasichelewe kwani Yeye ( Manzoki ) ndiyo atakuwa Mwarobaini ( Tiba ) ya Ugonjwa mkubwa wa Striking Force ( Mtu wa Kumaliza ) unaotusumbua kwa muda mrefu sasa.
Watu wa Yanga SC acheni Kujificha kwa kujifanya nyie ni wana Simba SC na kwamba mnashauri Simba SC isimsajili Manzoki. Tunajua Yanga SC wengi mnamuogopa Manzoki kwani Moto wake mnaujua hivyo sasa mnataka Kuwavunja Moyo Viongozi wa Simba SC ili wasimsajili ili muendelee Kutesa nyie tu na Mayele wenu.
Umeamua kujionyesha wazi wewe ni topoloTatizo nyie sembe fc kichwani ni weupe.
Uganda kuna ligi ngumu?Mkidharauliwa kwa kutokuwa na Akili na Uwezo wa Kuchambua Masuala Mtambuka mnakasirika.
Yaani hujui kuwa performance ya Mchezaji pia huchangiwa na Mazingira ya sehemu husika na Saikolojia yake kwa wakati huo?
Hivi kuna Mtu hapa East Africa ambaye hajui / haujui Uwezo mkubwa wa Ufungaji alionao Ceaser Lobi Manzoki?
Fernando Torres aliyekuwa wa Moto alipokuwa Liverpool FC yangu kwa Ufungaji alipohamia Chelsea FC alikuwa wa Moto hivyo hivyo? Je, ulisikia Watu wakimbeza kuwa hana Umuhimu tena katika Timu yoyote ile?
Soka la Afrika Mashariki unaweza kulifananisha na la huko aliko sasa Manzoki? Una uhakika huyu Mayele wa Yanga SC na hivi anavyofunga nae akienda huko Asia aliko Manzoki ataendelea tu Kutetema kwa Ufungaji?
Tena kwa tuliomuona Ceaser Lobi Manzoki, tuliocheza na hata Kuujua vyema huo Mpira na Wafuatiliaji na Wachambuzi wa Mpira tunasema kwa Uchezaji wake na Umahiri wake wa Kufunga Magoli aliouonyesha katika Ligi ngumu ya Uganda kama akija Simba SC na Kukutana na Mpishi na Mtoa Pasi za Upendo ( Shikamoo Marahaba ) Clatous Chota Chama kuna uwezekano Manzoki ndani ya Msimu Mmoja akafunga peke yake Magoli 50 na hili GENTAMYCINE sina Shaka nalo Kwake.
Tena nawaomba Simba SC kwa hili la Kumsajili ( Kumleta ) Manzoki Dirisha hili Dogo lijalo wasichelewe kwani Yeye ( Manzoki ) ndiyo atakuwa Mwarobaini ( Tiba ) ya Ugonjwa mkubwa wa Striking Force ( Mtu wa Kumaliza ) unaotusumbua kwa muda mrefu sasa.
Watu wa Yanga SC acheni Kujificha kwa kujifanya nyie ni wana Simba SC na kwamba mnashauri Simba SC isimsajili Manzoki. Tunajua Yanga SC wengi mnamuogopa Manzoki kwani Moto wake mnaujua hivyo sasa mnataka Kuwavunja Moyo Viongozi wa Simba SC ili wasimsajili ili muendelee Kutesa nyie tu na Mayele wenu.
Ipo Chumbani Kwako na Mumeo Pimbi.Uganda kuna ligi ngumu?
Una haki ya kurusha matusiIpo Chumbani Kwako na Mumeo Pimbi.