Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hata mkiandikwa vizuri hamtoi asante. Halafu mnalalamika kuwa wengine hata wakijisaidia wanasifiwa kuwa harufu yao nzuri.
Mkono mtupi haulambwi mbwa nyie. GSM nawapongeza wanajua kutujali.... Nasi hatutawaacha wapweke.
Mkono mtupi haulambwi mbwa nyie. GSM nawapongeza wanajua kutujali.... Nasi hatutawaacha wapweke.