Simba anavaa chapa ya chaos Ghalib Said Mohamed (GSM)

Wewe Muongo wa mwisho GSM hawana kiwanda huko uturuki!!..Una wajua GSM vizuri wewe unakumbuka Kilimanjaro Cement?!!. utakuja kusema Wana kiwanda cha Cement pia wakati mwengine ufikirie kabla ya kuandika uongo
 
Wewe Muongo wa mwisho GSM hawana kiwanda huko uturuki!!..Una wajua GSM vizuri wewe unakumbuka Kilimanjaro Cement?!!. utakuja kusema Wana kiwanda cha Cement pia wakati mwengine ufikirie kabla ya kuandika uongo
Tatizo la Jf kila mtu kujifanya mjuaji unamjua vizuri GSM wewe au unaropoka tu?
 
Mimi shabiki wa Simba nakataa kuwa Vunjabei alienda kwa sunderland kukopa naye sunderland akaenda kwa GSM.

Yaani Fred Asiende kumuombaMO Dewji aende kwenye connection na GSM?

Mi naamini kwenye jersey za simba kuna "Mo sports" ambaye nadhani ndiyo Mo Dewji mwenyewe.

Anyway kwani kuna tatizo ikiwa GSM ndiyo alitengeneza jersey za simba? Japo haiwezekani kamwe! That's business, akili za masikini ni shida tupu.

Kwa akili zenu utopolo mnaamini GSM ni kampuni kwaajili yenu.
 
Tatizo la Jf kila mtu kujifanya mjuaji unamjua vizuri GSM wewe au unaropoka tu?
Usipende kuokoteza habari ambazo sio nzuri kwenye biashara za watu!!..Jambo usilolijua Kwa ukamilifu Usipende kuandika kwenye ushabiki wako!!..Namjua na Ninawajua GSM !!..
 
Nimeishia kusoma nilipo ona Anta sport inamilikiwa na GSM [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeishia kusoma nilipo ona Anta sport inamilikiwa na GSM [emoji23][emoji23][emoji23]

Yani huyo Utopolo ujuaji mwingi Kaishia kuandika Vitu mpaka aibu! Eti kampuni kubwa duniani ya ANTA SPORTS yenye level za kina NIKE na ADIDAS inayoingiza mapato ya Trillion 5 za Kitanzania inamilikiwa na GSM! Aibu hii.

 
Kwa vyovyote vile umeandika haya ukiamini kwamba GSM ndio Young Africans SC. Umesahau kwamba GSM ni kampuni, na inawezekana ni wapenzi wa Simba SC kama alivyo Manara au walivyo wasomali wengi. Umesahau kwamba NBC ni kampuni. Umesahau kwamba Vodacom ni kampuni. Umesahau kwamba Vunjabei ni kampuni. Umesahau kwamba SportPesa sio Abas Tarimba, ni kampuni. Anyway, elimu haina mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…