Ni lini hizo jezi zenye chapa ya GSM zitaanza kuvaliwa? Maana ni kosa kwa klabu kucheza mechi na jezi zisizo na chapa ya mdhamini GSMViongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu
Wewe Muongo wa mwisho GSM hawana kiwanda huko uturuki!!..Una wajua GSM vizuri wewe unakumbuka Kilimanjaro Cement?!!. utakuja kusema Wana kiwanda cha Cement pia wakati mwengine ufikirie kabla ya kuandika uongo[emoji1593]"Kupitiwa haijawahi kuwa dhambi Wala kusahau haijawahi kuwa dhambi ".
Viongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu /wao na timu nyingine.
[emoji1593]12 July 2021 mzee kashembe aliweka wazi madudu tenda ya jezi na vunja bei /barba walihusika na tenda kufanyika kienyeji alisema kishemba "mnakumbuka ??tafuta mahojiano yake utajua kama hujui.
[emoji1593]Rejea 4 January ,2021 ilitaja vigezo vya kutaka mdhamini wa kutengeza jezi. Ni nani aliyeshinda kihalali tenda ya jezi ??
Anta sport ndio aliyeshinda tenda ya udhamini wa kutengeneza jezi za Simba kihalali kabisa viongozi wote wa Simba wanajua ila alinyimwa kwa sababu anayemiliki ni GHALIB SAID MOHAMED (GSM ).
[emoji1593]20 April 2021 BARBA GONZALEZ alitangaza ameshinda tenda ya kutengeneza jezi ni fredy vunja bei .......sasa pata utamu kwa nini GSM aliingia na kutengeneza jezi za Simba .
[emoji1593]picha linaanza fredy hakuwa hana pesa ya tenda aliyopewa sasa akaamua kumfuata the Sunderland one...,...."Akamwambia nimeshinda nitapata wapi pesa ya kulipa ??nipe sub contract nitengeneze jezi na wewe utakuwa supply tu .
[emoji1593]Sunderland akamfuata GSM amkopeshe pesa bilioni 2 .2 bila riba Hili ampe fredy Ila alipewa masharti mawili
Mosi ,jezi atengeneze yeye GSM kutoka kwenye kiwanda chake kilichopo Turkish
Pili ,bandarini mzigo atoe yeye kupitia kampuni yake na kusupply jezi .
Haya yote yalifanywa nyuma ya pazia na Sunderland na fredy anajua kabisa ,wangapi wanakumbuka jezi za Simba zilizovyokuwa na rebo ya GSM na yanga ? Jibu ni rahisi aliyetengeneza ni GSM ndio maana mpaka Leo hakuna kesi.
[emoji1593]Najua wengi hawajui Yale maghorofa pale kariakoo aliyopangishwa Sunderland ni ya GHALIB (GSM) tena amewakodisha Hadi viongozi wa Simba pale ukibisha nawataja Hadi namba ya chumba.
[emoji1593]fredy alivyojua ukweli pakatokea bifu na Sunderland akimlalamikia sub contract wake ,hakujua zile pesa bilioni 2.2 zilitoka kwa GSM .wafanyabiashara wote kariakoo wanajua kuwa zile pesa alitoa na nani , fredy akaambiwa ukweli akabaki hoi!!hoi! Akamkasirikia Sunderland wiki mbili bila kuongea ,alichofanya Sunderland mzigo ukazuiwa bandarini kama wiki mbili bila kusambazwa mzigo sokoni ukawa haupo kabisa ,hatimaye fredy akaenda kumpigia magoti Sunderland .
[emoji1593]Nenda kwenye akaunti ya vunja alisusa kuisapoti bidhaa za Sunderland Ila wiki iliyoisha ndio kapost kavideo kakionesha kuwa mzigo unapatikana Sunderland kujiridhisha nenda kwenye account yake ya Instagram
[emoji1593]Mpaka Leo hii hakuna mwanasimba yeyote anayejua jezi zinazalishwa wapi na kiwanda gani hata fredy Hajui hata Sunderland hajui Ila GHALIB SAID MOHAMED tu .
[emoji1593]mtu yeyote anayejua jezi za Simba zinatengenezwa kiwanda gani aje na ushahidi nikatwe mkono hadharani ...pia ujue jezi za Simba hata vile visheti kwenye jezi ni kama za yanga msimu uliopita ,pia angalia matundu ya pembeni ya jezi ni kama vile za yanga kabisa ushahidi chukua fananisha utajua ninachosema.
[emoji1593]
Mambo mengi najua mashabiki hawajui kuhusu vilabu vyao umemnyima Huku kapitia kwingine kupata pesa GSM [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460].
MTAJUA KAMA HAMJUI
Tatizo la Jf kila mtu kujifanya mjuaji unamjua vizuri GSM wewe au unaropoka tu?Wewe Muongo wa mwisho GSM hawana kiwanda huko uturuki!!..Una wajua GSM vizuri wewe unakumbuka Kilimanjaro Cement?!!. utakuja kusema Wana kiwanda cha Cement pia wakati mwengine ufikirie kabla ya kuandika uongo
Sio namjua nawajuaTatizo la Jf kila mtu kujifanya mjuaji unamjua vizuri GSM wewe au unaropoka tu?
Usipende kuokoteza habari ambazo sio nzuri kwenye biashara za watu!!..Jambo usilolijua Kwa ukamilifu Usipende kuandika kwenye ushabiki wako!!..Namjua na Ninawajua GSM !!..Tatizo la Jf kila mtu kujifanya mjuaji unamjua vizuri GSM wewe au unaropoka tu?
Nimeishia kusoma nilipo ona Anta sport inamilikiwa na GSM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1593]"Kupitiwa haijawahi kuwa dhambi Wala kusahau haijawahi kuwa dhambi ".
Viongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu /wao na timu nyingine.
[emoji1593]12 July 2021 mzee kashembe aliweka wazi madudu tenda ya jezi na vunja bei /barba walihusika na tenda kufanyika kienyeji alisema kishemba "mnakumbuka ??tafuta mahojiano yake utajua kama hujui.
[emoji1593]Rejea 4 January ,2021 ilitaja vigezo vya kutaka mdhamini wa kutengeza jezi. Ni nani aliyeshinda kihalali tenda ya jezi ??
Anta sport ndio aliyeshinda tenda ya udhamini wa kutengeneza jezi za Simba kihalali kabisa viongozi wote wa Simba wanajua ila alinyimwa kwa sababu anayemiliki ni GHALIB SAID MOHAMED (GSM ).
[emoji1593]20 April 2021 BARBA GONZALEZ alitangaza ameshinda tenda ya kutengeneza jezi ni fredy vunja bei .......sasa pata utamu kwa nini GSM aliingia na kutengeneza jezi za Simba .
[emoji1593]picha linaanza fredy hakuwa hana pesa ya tenda aliyopewa sasa akaamua kumfuata the Sunderland one...,...."Akamwambia nimeshinda nitapata wapi pesa ya kulipa ??nipe sub contract nitengeneze jezi na wewe utakuwa supply tu .
[emoji1593]Sunderland akamfuata GSM amkopeshe pesa bilioni 2 .2 bila riba Hili ampe fredy Ila alipewa masharti mawili
Mosi ,jezi atengeneze yeye GSM kutoka kwenye kiwanda chake kilichopo Turkish
Pili ,bandarini mzigo atoe yeye kupitia kampuni yake na kusupply jezi .
Haya yote yalifanywa nyuma ya pazia na Sunderland na fredy anajua kabisa ,wangapi wanakumbuka jezi za Simba zilizovyokuwa na rebo ya GSM na yanga ? Jibu ni rahisi aliyetengeneza ni GSM ndio maana mpaka Leo hakuna kesi.
[emoji1593]Najua wengi hawajui Yale maghorofa pale kariakoo aliyopangishwa Sunderland ni ya GHALIB (GSM) tena amewakodisha Hadi viongozi wa Simba pale ukibisha nawataja Hadi namba ya chumba.
[emoji1593]fredy alivyojua ukweli pakatokea bifu na Sunderland akimlalamikia sub contract wake ,hakujua zile pesa bilioni 2.2 zilitoka kwa GSM .wafanyabiashara wote kariakoo wanajua kuwa zile pesa alitoa na nani , fredy akaambiwa ukweli akabaki hoi!!hoi! Akamkasirikia Sunderland wiki mbili bila kuongea ,alichofanya Sunderland mzigo ukazuiwa bandarini kama wiki mbili bila kusambazwa mzigo sokoni ukawa haupo kabisa ,hatimaye fredy akaenda kumpigia magoti Sunderland .
[emoji1593]Nenda kwenye akaunti ya vunja alisusa kuisapoti bidhaa za Sunderland Ila wiki iliyoisha ndio kapost kavideo kakionesha kuwa mzigo unapatikana Sunderland kujiridhisha nenda kwenye account yake ya Instagram
[emoji1593]Mpaka Leo hii hakuna mwanasimba yeyote anayejua jezi zinazalishwa wapi na kiwanda gani hata fredy Hajui hata Sunderland hajui Ila GHALIB SAID MOHAMED tu .
[emoji1593]mtu yeyote anayejua jezi za Simba zinatengenezwa kiwanda gani aje na ushahidi nikatwe mkono hadharani ...pia ujue jezi za Simba hata vile visheti kwenye jezi ni kama za yanga msimu uliopita ,pia angalia matundu ya pembeni ya jezi ni kama vile za yanga kabisa ushahidi chukua fananisha utajua ninachosema.
[emoji1593]
Mambo mengi najua mashabiki hawajui kuhusu vilabu vyao umemnyima Huku kapitia kwingine kupata pesa GSM [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460].
MTAJUA KAMA HAMJUI
Nimeishia kusoma nilipo ona Anta sport inamilikiwa na GSM [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa lazima topolo aukimbie uzi wake [emoji1787][emoji28]Yani huyo Utopolo ujuaji mwingi Kaishia kuandika Vitu mpaka aibu! Eti kampuni kubwa duniani ya ANTA SPORTS yenye level za kina NIKE na ADIDAS inayoingiza mapato ya Trillion 5 za Kitanzania inamilikiwa na GSM! Aibu hii.
View attachment 2026708
Hapa lazima topolo aukimbie uzi wake [emoji1787][emoji28]
Me Yanga lia lia ila hapa umenichekesha sana[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji38]Kwani Mautopolo yanajielewa! Litarudi hapahapa subiri tu.
[emoji854][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwani Mautopolo yanajielewa! Litarudi hapahapa subiri tu.
hahah wapuuzi kweli yani.Mashabiki wa utopolo wanajua GSM NI Mali ya yanga
Kwa vyovyote vile umeandika haya ukiamini kwamba GSM ndio Young Africans SC. Umesahau kwamba GSM ni kampuni, na inawezekana ni wapenzi wa Simba SC kama alivyo Manara au walivyo wasomali wengi. Umesahau kwamba NBC ni kampuni. Umesahau kwamba Vodacom ni kampuni. Umesahau kwamba Vunjabei ni kampuni. Umesahau kwamba SportPesa sio Abas Tarimba, ni kampuni. Anyway, elimu haina mwisho[emoji1593]"Kupitiwa haijawahi kuwa dhambi Wala kusahau haijawahi kuwa dhambi ".
Viongozi wa Simba sio dhambi kukiri kuwa GSM anawavalisha wachezaji wetu /wao na timu nyingine.
[emoji1593]12 July 2021 mzee kashembe aliweka wazi madudu tenda ya jezi na vunja bei /barba walihusika na tenda kufanyika kienyeji alisema kishemba "mnakumbuka ??tafuta mahojiano yake utajua kama hujui.
[emoji1593]Rejea 4 January ,2021 ilitaja vigezo vya kutaka mdhamini wa kutengeza jezi. Ni nani aliyeshinda kihalali tenda ya jezi ??
Anta sport ndio aliyeshinda tenda ya udhamini wa kutengeneza jezi za Simba kihalali kabisa viongozi wote wa Simba wanajua ila alinyimwa kwa sababu anayemiliki ni GHALIB SAID MOHAMED (GSM ).
[emoji1593]20 April 2021 BARBA GONZALEZ alitangaza ameshinda tenda ya kutengeneza jezi ni fredy vunja bei .......sasa pata utamu kwa nini GSM aliingia na kutengeneza jezi za Simba .
[emoji1593]picha linaanza fredy hakuwa hana pesa ya tenda aliyopewa sasa akaamua kumfuata the Sunderland one...,...."Akamwambia nimeshinda nitapata wapi pesa ya kulipa ??nipe sub contract nitengeneze jezi na wewe utakuwa supply tu .
[emoji1593]Sunderland akamfuata GSM amkopeshe pesa bilioni 2 .2 bila riba Hili ampe fredy Ila alipewa masharti mawili
Mosi ,jezi atengeneze yeye GSM kutoka kwenye kiwanda chake kilichopo Turkish
Pili ,bandarini mzigo atoe yeye kupitia kampuni yake na kusupply jezi .
Haya yote yalifanywa nyuma ya pazia na Sunderland na fredy anajua kabisa ,wangapi wanakumbuka jezi za Simba zilizovyokuwa na rebo ya GSM na yanga ? Jibu ni rahisi aliyetengeneza ni GSM ndio maana mpaka Leo hakuna kesi.
[emoji1593]Najua wengi hawajui Yale maghorofa pale kariakoo aliyopangishwa Sunderland ni ya GHALIB (GSM) tena amewakodisha Hadi viongozi wa Simba pale ukibisha nawataja Hadi namba ya chumba.
[emoji1593]fredy alivyojua ukweli pakatokea bifu na Sunderland akimlalamikia sub contract wake ,hakujua zile pesa bilioni 2.2 zilitoka kwa GSM .wafanyabiashara wote kariakoo wanajua kuwa zile pesa alitoa na nani , fredy akaambiwa ukweli akabaki hoi!!hoi! Akamkasirikia Sunderland wiki mbili bila kuongea ,alichofanya Sunderland mzigo ukazuiwa bandarini kama wiki mbili bila kusambazwa mzigo sokoni ukawa haupo kabisa ,hatimaye fredy akaenda kumpigia magoti Sunderland .
[emoji1593]Nenda kwenye akaunti ya vunja alisusa kuisapoti bidhaa za Sunderland Ila wiki iliyoisha ndio kapost kavideo kakionesha kuwa mzigo unapatikana Sunderland kujiridhisha nenda kwenye account yake ya Instagram
[emoji1593]Mpaka Leo hii hakuna mwanasimba yeyote anayejua jezi zinazalishwa wapi na kiwanda gani hata fredy Hajui hata Sunderland hajui Ila GHALIB SAID MOHAMED tu .
[emoji1593]mtu yeyote anayejua jezi za Simba zinatengenezwa kiwanda gani aje na ushahidi nikatwe mkono hadharani ...pia ujue jezi za Simba hata vile visheti kwenye jezi ni kama za yanga msimu uliopita ,pia angalia matundu ya pembeni ya jezi ni kama vile za yanga kabisa ushahidi chukua fananisha utajua ninachosema.
[emoji1593]
Mambo mengi najua mashabiki hawajui kuhusu vilabu vyao umemnyima Huku kapitia kwingine kupata pesa GSM [emoji460][emoji460][emoji460][emoji460].
MTAJUA KAMA HAMJUI