Simba asiposajili DM na striker wa uhakika lawama zitaendelea

Simba asiposajili DM na striker wa uhakika lawama zitaendelea

Rosh Hashannah

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
3,415
Reaction score
2,043
Simba asiposajili DM na striker wa uhakika lawama zitaendelea.

Kounate ni box to box midfielder, kucheza kama Defensive Midfielder ni kumforce sana. Pia kama ataendelea kucheza DM apunguze foul za ovyo. Mkude haeleweki kama no. 6 au 8 yaani...

Striker wapambane wamchukue Manzoki, hawa Kayombo, Bocco au Mzungu ni matapel tu.

Okwa Okwa kwa nini hapewi nafasiii jaman? Kaingia kipind cha pili lakin impact yake imeonekana.

Kapombe sijaelewa kwa nin hakuanza!

Sub ya chama pia nilishangaa

Ila Profesa Nabi ni kocha.. Yaani subs mbili zimetuvuruga, Aziz Ki aliporud no 10 aliwaka sana.
 
Leo Manzoki anatua.
Usihofu vilivyoigharimu simba ni vitu vingi,intelijensia ya simba ilikuwa ndogo.
Inonga yule alikuwa feki mambo yatakuwa wazi, kocha alipaniki akafanya sub utadhani simba day.
 
Aiseee
Hakuna midfielder atayekudumu simba bila mkude kuondoka maana wachezaji wote wanaoletwa kwenye nafasi ile wanaondoka wakiwa injury baada ya kupata nafasi na mda mwingi wa kucheza mkude yule ni next level upande wa pili na mwenzake tshabalala.
 
Hakuna midfielder atayekudumu simba bila mkude kuondoka maana wachezaji wote wanaoletwa kwenye nafasi ile wanaondoka wakiwa injury baada ya kupata nafasi na mda mwingi wa kucheza mkude yule ni next level upande wa pili na mwenzake tshabalala.
Huu ni uchochezi kama ulivyo uchochezi mwingine.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
ACHA UONGO.

1. Nabi sio profesa
2. Kanute hajawahi kufosiwa hiyo namba 6.
3. Simba inahitaji CDM Central defensive midfielder. Kiungo wa kati mkabaji. Na sio DM

4.KAMA HUJUI MPIRA TUTAWAPA SOMO LA KUWAFUNDOSHA
 
Back
Top Bottom