Simba asiyesikia la mkuu huvunjika guu, mjiandae tu kisaikolojia ligi kuu na mashindano ya kimataifa sio lelemama!

Simba asiyesikia la mkuu huvunjika guu, mjiandae tu kisaikolojia ligi kuu na mashindano ya kimataifa sio lelemama!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Tumeona Leo vijana wenu Wenye umri mdogo wakicheza mechi ya kirafiki na al hilal ya Sudan, tumeona timu yenu kimbinu na kiufundi ilivyo!

Al hilal awa wamepungua ubora wao kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na al hilal Ile iliyocheza na yanga msimu juzi ikiwa ya moto ikiwa na vijana wakina Ibrahim imoro, nafikiri vita vya kule kwao sudani viliwaathiri sana mpaka wakakimbiwa na wachezaji wao muhimu!

Licha ya vita walikosa kucheza ligi kwa msimu mzima ni jambo liliwapunguza nguvu sana mpaka sasa wameomba kucheza ligi ya Mauritania ambayo aijaanza bado!

Pamoja na udhaifu wao Leo bado wamewapa Simba mechi inayomtaka kocha fadlu afanye kazi ya ziada kuiweka Sawa timu yake bado Ina mtihani wa kufanya!

Mechi za kimataifa uwa zinachezwa kimbinu sana na kiufundi lakini kwa kocha uyu wa Simba sijaona kama Yuko vizuri kimbinu kwa maana mechi hizi inatakiwa pia ujaribu mbinu zako uone namna utavyokabiliana na wapinzani wako kwenye mechi za kimataifa!

Uwezi kujaribu mbinu kwenye mazoezi na ukajipa asilimia 100 kwamba umefanikiwa bila kuzijaribu kwenye mechi kama hizi itakuwa unajidanganya na utakuwa kama kocha wa Azam aliyekurupuka kuanza na back 3 kwenye mechi ya yanga na akatandikwa chuma 4!

Simba kaongoza goli Moja kipindi cha kwanza alitakiwa awe na mbinu Bora za kulinda ushindi na kuongeza goli ama asiruhusu goli,

Jamaa wamerudi wakapata kadi nyekundu wakawa pungufu lakini bado wakawa wanaonekana kama vile wametimia kwa namna walivyokuwa wanacheza, akukuwepo tofauti kati ya timu pungufu na timu iliyokamilika, na bado wakasawazisha goli!

Iyo sio kwamba ni bahati mbaya bali ni ujumbe umetumwa kwamba timu yenu bado Ina mapungufu kibao na inakwenda kukutana na timu zenye uwezo zaidi ya hao al hilal au wanaolingana uwezo je watatoboa?

Timu nzima ilikuwa inapanda kipindi cha pili kwenda kutafuta goli baada ya kuona wako pungufu na bado wakawa wanajisahau wanapiga vipasi vya hapa na pale ambavyo avikuwa na madhara kwa mpinzani, counter attack Moja tu wakapigwa ikazaa goli!

Ndo hapo tunarudi kwenye suala la uzoefu pia kwa wachezaji uwa linasaidia sana awa vijana wa Simba wao wanavyocheza na timu za ligi kuu ivyo ivyo wanataka wacheze na mechi ya kimataifa sio Sawa ata kidogo!

Kina awesu wanakaa na Mpira kucheza na majukwaa mpaka wanaporwa mipira, but wenzao wa al hilal ulikuwa unaona Kuna uzoefu wanao kuliko Simba, walikuwa wanacheza objective football!

Nawaambia msiwe mnamaliza maneno kwa mechi za tabora united na fountain gate, tengenezeni timu bado sana vinginevyo mtawafata coast union na Azam mapema sana!
 
Hahaha ukiwa utopolo lazima uwe mjinga tu,

Sijasoma hata gazeti lako lakini heading tu inabeba nongwa za kipuuzi na siyo uchambuzi.

Mechi ya kirafiki inakufanya uamue kuwa Simba SC mbovu?

What a fvck is this?
Ungesoma alicho andika, Leo Al Hilal walimkosa mshambuliaji na captain wao mchezaji hatari zaidi katika ukanda uu wa Afrika Mashariki na kati anaitwa Mohamed.

Kikubwa Simba katika maeneo yote matatu ya uwanja spidi Yao inalingana na haileti picha nzuri inapo elekea.
Spidi ya kutokea golini , katikati mpaka mwisho hazipishani ni jambo la kushangaza katika mpira wa kisasa.
 
Hahaha ukiwa utopolo lazima uwe mjinga tu,

Sijasoma hata gazeti lako lakini heading tu inabeba nongwa za kipuuzi na siyo uchambuzi.

Mechi ya kirafiki inakufanya uamue kuwa Simba SC mbovu?

What a fvck is this?
Hizi ni empty brain nyingi zilizoko pale ukoloni, mangungu kuwaongoza aikuwa bahati mbaya, Simba ya sasa inaweza kuongozwa ata na kichaa, umeshindwa kuleta hoja zako na kujibu hoja bali umetoa hisia zako tu na mihemko ya kishabiki, kama ujasoma unatoaje conclusion ya kitu ambacho ata ujakisoma? Na wewe ukute ni mwanachama wa iyo klabu kama ni ivyo kwanini timu yenu isiendelee kudumaa kama akili zenyewe ndio hizi!
 
Ungesoma alicho andika, Leo Al Hilal walimkosa mshambuliaji na captain wao mchezaji hatari zaidi katika ukanda uu wa Afrika Mashariki na kati anaitwa Mohamed.

Kikubwa Simba katika maeneo yote matatu ya uwanja spidi Yao inalingana na haileti picha nzuri inapo elekea.
Spidi ya kutokea golini , katikati mpaka mwisho hazipishani ni jambo la kushangaza katika mpira wa kisasa.
Awa ndivyo walivyo ukiwachana ukweli awataki kuusikia bali wanapenda kupakwa uji mdomoni kwa kuwasifia ata kama ni wabovu.

Sasa angalia kiufundi na kimbinu wanavyotoka kwenye zone yao ya kwanza kwenda kwenye kiungo mpaka ushambuliaji utaona uchezaji wao ni WA kucheza ndondo cup na sio MASHINDANO makubwa, uwezi kutumia mbinu za mechi za ligi kuu au ulizotumia kucheza na wakina tabora united hizo hizo ukaziapply kucheza mechi kubwa utaadhirika!

Ndio maana nasema uyu kocha anaweza asifike Christmas, na suala la muunganiko litaendelea kuonekana kwakuwa kocha amna pale!
 
Tumeona Leo vijana wenu Wenye umri mdogo wakicheza mechi ya kirafiki na al hilal ya Sudan, tumeona timu yenu kimbinu na kiufundi ilivyo...

Weka hata space kidogo duh

Unaandika mambo ya timu mkubwa mwandiko kama sisimizi wamejikusanya sehemu

Unakimbilia wapi
 
Hii ndio tunataka jezi ya Taifa iwe ya kudumu kwa mashabiki na wachezaji na neno Tanzania lionekane. Habari za lutuletea marembo marembo kwenye jezi ya Taifa na kuwa na maandishi kibao mara sanda hatutaki. Brazili, Italy, ujerumani , Croatia huwa haeabadili rangi za jezi za Taifa lao
71b854_9b07469a1ce04ea9937c3d834b651a1d~mv2.jpg
 
Weka hata space kidogo duh

Unaandika mambo ya timu mkubwa mwandiko kama sisimizi wamejikusanya sehemu

Unakimbilia wapi
Leta hoja sio viroja mwandiko ndio utakutengenezea timu yako? 🚮🚮🚮
 
Haya mautopolo yanakuwa maduwazi..yaani match ya kirafiki ambayo haina maslahi...tuwaumize wachezaji wetu kwa lipi?nenda huko kashabikir timu yenye rangi ya mavi mavi njano..na kijani mavi ya ndege..huna akili
Rage effect🚮🚮🚮🚮
 
Tumeona Leo vijana wenu Wenye umri mdogo wakicheza mechi ya kirafiki na al hilal ya Sudan, tumeona timu yenu kimbinu na kiufundi ilivyo!
Al hilal awa wamepungua ubora wao kwa kiasi kikubwa sana ukilinganisha na al hilal Ile iliyocheza na yanga msimu juzi ikiwa ya moto ikiwa na vijana wakina Ibrahim imoro, nafikiri vita vya kule kwao sudani viliwaathiri sana mpaka wakakimbiwa na wachezaji wao muhimu!
Licha ya vita walikosa kucheza ligi kwa msimu mzima ni jambo liliwapunguza nguvu sana mpaka sasa wameomba kucheza ligi ya Mauritania ambayo aijaanza bado!
Pamoja na udhaifu wao Leo bado wamewapa Simba mechi inayomtaka kocha fadlu afanye kazi ya ziada kuiweka Sawa timu yake bado Ina mtihani wa kufanya!
Mechi za kimataifa uwa zinachezwa kimbinu sana na kiufundi lakini kwa kocha uyu wa Simba sijaona kama Yuko vizuri kimbinu kwa maana mechi hizi inatakiwa pia ujaribu mbinu zako uone namna utavyokabiliana na wapinzani wako kwenye mechi za kimataifa!
Uwezi kujaribu mbinu kwenye mazoezi na ukajipa asilimia 100 kwamba umefanikiwa bila kuzijaribu kwenye mechi kama hizi itakuwa unajidanganya na utakuwa kama kocha wa Azam aliyekurupuka kuanza na back 3 kwenye mechi ya yanga na akatandikwa chuma 4!
Simba kaongoza goli Moja kipindi cha kwanza alitakiwa awe na mbinu Bora za kulinda ushindi na kuongeza goli ama asiruhusu goli,
Jamaa wamerudi wakapata kadi nyekundu wakawa pungufu lakini bado wakawa wanaonekana kama vile wametimia kwa namna walivyokuwa wanacheza, akukuwepo tofauti kati ya timu pungufu na timu iliyokamilika, na bado wakasawazisha goli!
Iyo sio kwamba ni bahati mbaya bali ni ujumbe umetumwa kwamba timu yenu bado Ina mapungufu kibao na inakwenda kukutana na timu zenye uwezo zaidi ya hao al hilal au wanaolingana uwezo je watatoboa?
Timu nzima ilikuwa inapanda kipindi cha pili kwenda kutafuta goli baada ya kuona wako pungufu na bado wakawa wanajisahau wanapiga vipasi vya hapa na pale ambavyo avikuwa na madhara kwa mpinzani, counter attack Moja tu wakapigwa ikazaa goli!
Ndo hapo tunarudi kwenye suala la uzoefu pia kwa wachezaji uwa linasaidia sana awa vijana wa Simba wao wanavyocheza na timu za ligi kuu ivyo ivyo wanataka wacheze na mechi ya kimataifa sio Sawa ata kidogo!
Kina awesu wanakaa na Mpira kucheza na majukwaa mpaka wanaporwa mipira, but wenzao wa al hilal ulikuwa unaona Kuna uzoefu wanao kuliko Simba, walikuwa wanacheza objective football!
Nawaambia msiwe mnamaliza maneno kwa mechi za tabora united na fountain gate, tengenezeni timu bado sana vinginevyo mtawafata coast union na Azam mapema sana!
Kwa hiyo Real Madrid ni wabovu kwa kutoa sare na Las Palmas tena kwenye ligi?Tena Real amechomoa kwa penalti.
Una safari ndefu sana kwenye uchambuzi wa mpira kwa sababu mpira huujui.
Umeanza ushabiki kwa kukariri kwamba timu lazima ishinde tu.Kocha Fadlu amehojiwa na amesema kwamba lengo la kubadili timu kipindi cha pili ni wachezaji wote wapate exposure na ayafanyie kazi makosa yatakayojitokeza.
Mpira ni mchezo wa makosa ndio maana timu zinafungana.Ushabiki maandazi peleka huko kwenye mashabiki maandazi wenzako.
Hakuna cha maana ulichoandika bali kutimiza tu ushabiki wa timu unayeishabikia.Ndio maana ulipopingwa ukarukia uongozi wa Magungu.
 
Ungesoma alicho andika, Leo Al Hilal walimkosa mshambuliaji na captain wao mchezaji hatari zaidi katika ukanda uu wa Afrika Mashariki na kati anaitwa Mohamed.

Kikubwa Simba katika maeneo yote matatu ya uwanja spidi Yao inalingana na haileti picha nzuri inapo elekea.
Spidi ya kutokea golini , katikati mpaka mwisho hazipishani ni jambo la kushangaza katika mpira wa kisasa.
Na bado unatesekaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom