Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kama mtanzania nisingependa kuona timu yoyote ikifungwa. Ila kwa yanayoendelea wapendwa msishangae kabisa kuona simba akifungwa
Kumezuka msuguano wa kwa nini huyu achezeshwi yule achezeshwe. Mkumbuke haya ndio yaliwamaliza wakanywa 5 kwa Mkapa
Sasa kama unakwenda uwanjani kuishangilia Simba jipange na haya matokeo
Usiinite mganga
Adbest simba
Kumezuka msuguano wa kwa nini huyu achezeshwi yule achezeshwe. Mkumbuke haya ndio yaliwamaliza wakanywa 5 kwa Mkapa
Sasa kama unakwenda uwanjani kuishangilia Simba jipange na haya matokeo
Usiinite mganga
Adbest simba