Simba bado inamuhitaji John Bocco

Simba bado inamuhitaji John Bocco

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Simba baada ya kukurupuka na kumwachia nahodha wakutumainiwa John Bocco, imeendelea kuwa mnyonge kwa Yanga.

Capten fantastic hawezi kukubali unyonge wa kufungwa na Yanga Mara kwa Mara. Hata Zile 5 angekuwepo tusinge fungwa 5. Hata hivyo Bocco mpaka Sasa ameshaingia kambani Goli mbili JKT Tanzania wakati wachezaji wengi wa Simba wameshindwa kufanya hivyo.

Tafadhali viongozi wa Simba acheni kukurupuka kuachia wachezaji wakati hamjui kusajili. Kama Yanga akiendelea Kushinda kila siku hii Derby itakuja kufa.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024
 
FB_IMG_17293543679278952.jpg


Simba TAFUTENI nahodha either mumrudishe mkude , au muangalie kiongozi mwingine anayeweza kuja kutupa makombe tena
 
Sasa ni rasmi Simba haiwezi kuifunga Yanga, hata nahodha awe Ronaldo au Messi!! Dawa ni kumuondoa kipara pale Yanga mengine ni taarabu tu!!

Nilijua Chama akiingia tu dakika za jiooooni itakuwa balaa na ikawa!!

Maandalizi ya kuifunga Simba derby ijayo yanatakiwa kuanza sasa, maana kombe letu liko kwenye points 6 za Simba!! Tatu tayari!!

Ila tuache utani kimoja kinauma sana!! Simba sasa ni dhahiri wanahitaji matibabu ya moyo!! Yanga inawaonea sana!!
 
Simba baada ya kukurupuka na kumwachia nahodha wakutumainiwa John Bocco, imeendelea kuwa mnyonge kwa Yanga. Capten fantastic hawezi kukubali unyonge wa kufungwa na Yanga Mara kwa Mara. Hata Zile 5 angekuwepo tusinge fungwa 5. Hata hivyo Bocco mpaka Sasa ameshaingia kambani Goli mbili jkt Tanzania wakati wachezaji wengi wa Simba wameshindwa kufanya hivyo. Tafadhali viongozi wa Simba acheni kukurupuka kuachia wachezaji wakati hamjui kusajili. Kama yanga akiendelea Kushinda kila siku hii Derby itakuja kufa
Ateba na Auha si wana mbili mbili, jamaa wapo vizuri.
 
Simba baada ya kukurupuka na kumwachia nahodha wakutumainiwa John Bocco, imeendelea kuwa mnyonge kwa Yanga.

Capten fantastic hawezi kukubali unyonge wa kufungwa na Yanga Mara kwa Mara. Hata Zile 5 angekuwepo tusinge fungwa 5. Hata hivyo Bocco mpaka Sasa ameshaingia kambani Goli mbili JKT Tanzania wakati wachezaji wengi wa Simba wameshindwa kufanya hivyo.

Tafadhali viongozi wa Simba acheni kukurupuka kuachia wachezaji wakati hamjui kusajili. Kama Yanga akiendelea Kushinda kila siku hii Derby itakuja kufa.

Soma Pia: FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024
Basi hata Malota Soma ,Abdallah kibadeni, Joseph Kaniki Bado wanahitajika.
 
Back
Top Bottom