gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Mashabiki wa yanga a.k.a gongowazi naomba muache kutushobokea,kutufuata fuata na kutupa pressure sisi bado tunajenga timu na timu yetu imefikia 60% bado 40% ili chama litimie tuanze kuwapiga watu 8 kama kawaida yetu.
Kilichotokea jana ni mtego na yanga wameingia wazima wazima tarehe 8 wataenda kuwasimulia wafu wenzao kuzimu coz tar 8 tutawazika wazima wazima.
Kilichotokea jana ni mtego na yanga wameingia wazima wazima tarehe 8 wataenda kuwasimulia wafu wenzao kuzimu coz tar 8 tutawazika wazima wazima.