Mwaka wa jana ilikuwa hivi hivi mpaka wadau wakataka kuanzisha mchango wa rambirambi kuwa huyu jamaa yetu umauti umemkuta kumbe wapi yupo eneo korofi!
Tuliwatahadharisha mapema kuwa baiskeli ya miti hiyo na huu ni mtelemko wakidhani ni mwaka wao basi wameishia kwenda FIFA