Kama wao wameshindwa kuwafunga Simba watawezaje kuwasaidia wenzao wawafunge simba, hii ni sawa na kumpa mtu majibu ya mtihani uliofeli ukitegemea afaulu.
Wanchotakiwa kujua yanga ni kwamba hata hao plateau wanaojinsibu et watakua wenyeji wao wenyewe wanawaona miyeyusho tu.
Timu haishiriki hata shirikisho afu et ikupe mbinu ya kuishinda timu inyoshiriki klabu bingwa, huo si utkua ukichaa tu.