Simba bila Akina Chama Leo tena

Tuliwaambia pengo halitazibika kirahisi wakabisha sasa game ya pili mfululizo wanapigwa.
Saa kumi hii wacha tujiridhishe kwa mara ingine kuwa mambo ni magumu msimu huu.hakika mwosha huoshwa!
Usichokijua ni kwamba Simba SC itacheza bila ya Chama na Luis katika maisha yake yote yaliyobaki hapa duniani.
Sasa kama unaamini kwamba haiwezi kushinda bila hao watu basi jihesabu kuwa wewe ni mtu mwenye bahati sana hapa duniani.
 
Ndo tatizo mtu kujua mpira Ukiwa umeshafikia uzeen
 
Tuliwaambia pengo halitazibika kirahisi wakabisha sasa game ya pili mfululizo wanapigwa.

Saa kumi hii wacha tujiridhishe kwa mara ingine kuwa mambo ni magumu msimu huu.

Hakika mwosha huoshwa!
Chama, Luis na Manara

Pengo ni kubwa mno
 
Ina maana Simba kacheza dakika 270 bila kupata bao, ni hatari kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiko wapo sasa?
Ijumaa tunaenda tena season 4 simba bila akina chama
huo mzimu wa kinachama sahau face the reality for now face the solutions kuwa Una wachezaj wa Aina hiii Weka mfumo wa kuendana nao sasa utalaumu tu mpaka Lin hao wameshaenda Dili na waliupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…