Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Manara hahusiki na chochote hapo!yap tumesha poteza manara anawaponza
Nendeni fifamalinzi kashapiga simu kwa kamisaa ili refa awabebe mbao, ujinga huu kwenye soka la bongo unaua maana ya michezo
Mkuu kweli??Refa anaokolewa na polisi
Mkuu kweli??
kawapa Simba penatiMkuu kweli??
Noooomalinzi kashapiga simu kwa kamisaa ili refa awabebe mbao, ujinga huu kwenye soka la bongo unaua maana ya michezo