Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
*Jana nimeenda dukani nikamsikia jamaa anamwambia muuza duka nipatie MASAU BWIRE moja bariiiiidi ......[emoji15] nikasubiria nione kinywaji kipya*
naona muuza duka anatoa *7UP* .....[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
....nyie Simba Mungu anawaona yani
naona muuza duka anatoa *7UP* .....[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
....nyie Simba Mungu anawaona yani